Pre GE2025 Afande Sele: Ushindi wa Mbowe ndio utakuwa mwisho wa CHADEMA

Pre GE2025 Afande Sele: Ushindi wa Mbowe ndio utakuwa mwisho wa CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Uchaguzi wa CHADEMA nafasi ya Uenyekiti umezidi kupamba moto.

Haya ni maneno ya Afande Sele ambaye ni mfuatiliaji mkubwa wa siasa za Bongo.

Mbowe ajitafakari.

Hiki ndicho alichoandika Afande Sele kupitia ukurasa wake wa Instagram:

Baraza lote la vijana limeshikiliwa na watu wanaomuunga mkono Lissu… na uongozi wote wa BAVICHA kuanzia Mwenyekiti, Makamu M/Kiti na Katibu wote wanamuunga mkono Lissu. Kwenye wajumbe 21 wa BAVICHA, 20 wote wanamuunga mkono Lissu na mmoja tu ndie anatokea kambi ya Mbowe” Lyenda..

Sina hakika kama hivi ndivyo ilivyo,ingawa matokeo ya uchaguzi wa Bavicha yanaweza kuwa sehemu ya kuthibitisha ukweli wa maneno haya

Na kama huu ndio ukweli basi maana yake Mbowe hatoshinda ,na hata kama akishinda itakua kama kashindwa na akishindwa itakua kama kashindwa kila kitu,yani uwenyekiti na heshima yakey yote aliyojijengea kwa muda wote wa uongozi wake ndani ya Chadema na upinzani kwa ujumla

Hii ni kwasababu huhitaji hata kuwa na akili ya mtoto mdogo kujua kuwa ushindi wa Mbowe ndio utakua mwisho wa Chadema na mwanzo wa upinzani mpya kutoka ndani na nje ya upinzani wa sasa uliopoteza mvuto kwasababu ya viongozi wake waliopoteza Imani ya wananchi kutokana na matendo yao🤧


cdm  af.png
 
Wakuu,

Uchaguzi wa CHADEMA nafasi ya Uenyekiti umezidi kupamba moto.

Haya ni maneno ya Afande Sele ambaye ni mfuatiliaji mkubwa wa siasa za Bongo.

Mbowe ajitafakari.

Hiki ndicho alichoandika Afande Sele kupitia ukurasa wake wa Instagram:

Baraza lote la vijana limeshikiliwa na watu wanaomuunga mkono Lissu… na uongozi wote wa BAVICHA kuanzia Mwenyekiti, Makamu M/Kiti na Katibu wote wanamuunga mkono Lissu. Kwenye wajumbe 21 wa BAVICHA, 20 wote wanamuunga mkono Lissu na mmoja tu ndie anatokea kambi ya Mbowe” Lyenda..

Sina hakika kama hivi ndivyo ilivyo,ingawa matokeo ya uchaguzi wa Bavicha yanaweza kuwa sehemu ya kuthibitisha ukweli wa maneno haya

Na kama huu ndio ukweli basi maana yake Mbowe hatoshinda ,na hata kama akishinda itakua kama kashindwa na akishindwa itakua kama kashindwa kila kitu,yani uwenyekiti na heshima yakey yote aliyojijengea kwa muda wote wa uongozi wake ndani ya Chadema na upinzani kwa ujumla

Hii ni kwasababu huhitaji hata kuwa na akili ya mtoto mdogo kujua kuwa ushindi wa Mbowe ndio utakua mwisho wa Chadema na mwanzo wa upinzani mpya kutoka ndani na nje ya upinzani wa sasa uliopoteza mvuto kwasababu ya viongozi wake waliopoteza Imani ya wananchi kutokana na matendo yao🤧


Wengi ambao wametangulia mbele ya haki walidai chadema itakufa, wamepita na kipo

Siasa ni ideology, ideology ipo hata vizazi vipite
 
Wengi ambao wametangulia mbele ya haki walidai chadema itakufa, wamepita na kipo

Siasa ni ideology, ideology ipo hata vizazi vipite

Yaani unaongea kama CHADEMA ina miaka 50 vile wakati hata Diamond Platnumz ni mzee kuliko CHADEMA

Wewe unaona CHADEMA ya mwaka 2014 - 2015 ni sawa na ya CHADEMA ya sasa?

What part of Mbowe kuitisha maandamano alafu akaenda yeye na familia yake haikuoneshi kuwa chama kinaelekea kufa chini ya huyo baba?

Una umri gani?
 
Wengi ambao wametangulia mbele ya haki walidai chadema itakufa, wamepita na kipo

Siasa ni ideology, ideology ipo hata vizazi vipite
Chadema haikufa Kwa sababu makamanda hawakujua Kwamba hiki chama ni CCM B na kilianzishwa Kwa intelligence ya Nyerere Kwa kuwatumia kiujanja Tuntemeke Sanga na Mtei 😂😂

Hii kachero huwezi kuelewa labda akutafsirie mbobezi Wenje 😂😂😂
 
Itakuwa ni Uwendawazimu na ukichaa mkubwa sana kwa mtu mwenye akili Timamu na anayejitambua kumsikiliza mtu kama huyu ambaye arishusha suruali yake na kubakia na nguo ya ndani tu akiwa jukwaani. Ndio maana nilisema kuwa lissu anaungwa mkono na watu wa Hovyo hovyo,wababaishaji na wahuni wahuni tu.
 
Chadema haikufa Kwa sababu makamanda hawakujua Kwamba hiki chama ni CCM B na kilianzishwa Kwa intelligence ya Nyerere Kwa kuwatumia kiujanja Tuntemeke Sanga na Mtei 😂😂

Hii kachero huwezi kuelewa labda akutafsirie mbobezi Wenje 😂😂😂
Punguza story za vijiweni, eti intelligence ya nyerere. Kaka hizo chai peleka uswahilini

Pole sana, kwa namna ccm na mamlaka walivyopania kuifuta, ingeshafutwa waaaaay back
Lissu anapigwa vita sana kwanini? Yaani hafi ccm wanampiga vita? Lakini hao hao wana support mbowe?
Kweli?
 
wewe una akili gani sasa?
Itakuwa ni Uwendawazimu na ukichaa mkubwa sana kwa mtu mwenye akili Timamu na anayejitambua kumsikiliza mtu kama huyu ambaye arishusha suruali yake na kubakia na nguo ya ndani tu akiwa jukwaani. Ndio maana nilisema kuwa lissu anaungwa mkono na watu wa Hovyo hovyo,wababaishaji na wahuni wahuni tu.
 
Punguza story za vijiweni, eti intelligence ya nyerere. Kaka hizo chai peleka uswahilini

Pole sana, kwa namna ccm na mamlaka walivyopania kuifuta, ingeshafutwa waaaaay back
Lissu anapigwa vita sana kwanini? Yaani hafi ccm wanampiga vita? Lakini hao hao wana support mbowe?
Kweli?
Wewe unadhani Lisu angelipwa Hela zake na Samia wakati Ule angempinga Mbowe Leo?

Mheshimiwa Kachero uwe unafikuri Kwa kutumia ubongo Rais Samia kumtoa Mbowe Kwenye ugaidi lilikuwa ni ombi la Tundu Lisu pale Ubelgiji na Mbowe Sasa Yuko Mtaani na DPP hajafuta kabisa Ile KESI ( Mbowe kamalizwa)

Lisu atalipwa Madai yake Yote kabla ya uchaguzi pamoja na gari mpya kureplace ile yenye matundu ya Risasi whether awe Mwenyekiti Mpya wa Chadema or not

Na Shughuli rasmi itaishia hapo na CCM itashinda Ubunge na uRais Kwa 98%

Ili Chadema ife ni lazima Mbowe awe Mwenyekiti

Na Ili Chadema wagawane Mbao ni lazima Tundu Lisu awe Mwenyekiti

Dr Nchimbi ndio ataamua kama Mfe au Mgawane Mbao Kwa maslahi mapana ya CCM

Happy New Year 😄🌹
 
Afande sele ni moja ya brothers wenye akili sana anatakiwa awe mbunge wa moro sema waluguru wamelorogwa na bwana abdulaziz huwaambii kitu 😄😄😄
 
Back
Top Bottom