Ndugu, mke wangu ni mjamzito. Makadirio ya kujifungua (due date) ilikuwa ni tarehe 10.03.2015 na kwa mujibu wa vipimo vya ultra-sound ni tarehe 13.03.2015..
Sasa muda umepita na hana dalili zozote za uchungu. Tufanye nini ili apate uchungu na hatimaye kujifungua? Maana ameanza wiki ya 41 sasa.
Nawasilisha..
Sasa muda umepita na hana dalili zozote za uchungu. Tufanye nini ili apate uchungu na hatimaye kujifungua? Maana ameanza wiki ya 41 sasa.
Nawasilisha..