Mkuu, naomba umtoe mjamzito huyo kwa matembezi nje ! atembee kwa takariban dakika 45.. in-shaa-allah matokeo na tija itadhihiri ...hongera!Ndugu, mke wangu ni mjamzito. Makadirio ya kujifungua (due date) ilikuwa ni tarehe 10.03.2015 na kwa mujibu wa vipimo vya ultra-sound ni tarehe 13.03.2015..Sasa muda umepita na hana dalili zozote za uchungu. Tufanye nini ili apate uchungu na hatimaye kujifungua? Maana ameanza wiki ya 41 sasa.Nawasilisha..