Afanyeje naye anampenda?

Jamani huyu kaisha ambiwa demu mgonjwa , akapime nini tena?Sikio la kufa hilo.....

Mtu hapimwi na maneno ya watu!! aende hospitali kupata uhakika wa afya yake na huyo dada ili awe makini!!! Ngoma haiambukizwi kwa sex peke ake anaweza kutumia condom akaja kupata kwenye kiwembe watakachokatia kucha wote!!! Na anaweza kuzani huyo dada kaathirika kumbe aliathirika ni yeye!!! Kupima ni bora na heri zaidi kwa wote wawili!!!
 
kama umempenda kikweli mshauri mkapime achana na vipimo vidole na maneno ya watu watu ndio walivyo wakinyimwa tu watazusha kila jambo kapime then kama kaathirika na ww usikii uoni nendeni mkapewe ushauri mpate njia sahihi ya kushi pamoja
 
...Kweli tupu FL1 unajua si waswahili kwa kuzushiana mambo tuko vizuri sana. Huenda kuna jamaa limemtokea dada wa watu akapigwa kibuti akaamua kuzusha ana ngoma...Mshauri mdada mkafanye vipimo na umueleze wazi kuwa uko serious na yeye!!!.
 
Haya mama tupo pamoja mm nakusubili umteme yule jamaa nishikirie usukani mie.

Hivi kwa mfano nakupa no. ya simu then nakuita billionairsclub are you ready to come??
Do you believe in long distance relationship?

I just want to put you in the biggest test ever in your life!
am gonna give you one of the best surprise you can ever get!!!
give me some minutes I will be back, let sign some documents..
 

Kiukweli ni kwamba jamaa wanamhusisha na kashfa kadhaa za wakware ambao wako confirmed positive. Nadhani wanajumlisha 1 na 1 na wanapata 11 ukizingatia baadhi ya watu wana tabia ya kuwaambukiza wenzao makusudi. Nadhani suala la kupima ni la mbolea zaidi kabla jamaa hajajitosa. Mwenyewe mwoga wa kupima kweli kweli!
 

heheheheh Fidel80

VIVIANI ULIKUWA WAPI MDADA?
 
Kama ameambiwa hasikii muache ale mzigo ili 2020 tubaki wachache...!Lol
 
Only a goat that is tired of life invites a lion to dinner...



Annina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…