Guyana Halima
Member
- Feb 23, 2009
- 78
- 1
Jamani huyu kaisha ambiwa demu mgonjwa , akapime nini tena?Sikio la kufa hilo.....
Dah pole sana lakini natumaini sasa hivi upo oky!
Huku umia? Ilikuwaje mpaka ukala bam?
Long story pal! good thing that an Ok.
...Kweli tupu FL1 unajua si waswahili kwa kuzushiana mambo tuko vizuri sana. Huenda kuna jamaa limemtokea dada wa watu akapigwa kibuti akaamua kuzusha ana ngoma...Mshauri mdada mkafanye vipimo na umueleze wazi kuwa uko serious na yeye!!!.Kama amempenda kikweli waende tu wakapime wajue status zao simple ..lakini binadamu siku zote hatupendani kabisa mtu mmoja anaweza kukuzushia una ngoma au baya lolote analojisikia kisa umemtosa /mmegombana na habari ikasambaa dunia nzima na ikakuharibia sifa yako
Ingawa sometimez wanasema lisemwalo lipo
Hao watu wamempima kwa macho au wana kithibitisho gani juu ya madai hayo??
Haya mama tupo pamoja mm nakusubili umteme yule jamaa nishikirie usukani mie.
Hivi kwa mfano nakupa no. ya simu then nakuita billionairsclub are you ready to come??..
Kama amempenda kikweli waende tu wakapime wajue status zao simple ..lakini binadamu siku zote hatupendani kabisa mtu mmoja anaweza kukuzushia una ngoma au baya lolote analojisikia kisa umemtosa /mmegombana na habari ikasambaa dunia nzima na ikakuharibia sifa yako
Ingawa sometimez wanasema lisemwalo lipo
Hao watu wamempima kwa macho au wana kithibitisho gani juu ya madai hayo??
Hehehehe bahati ya mtende hiyooooo p'se contact me on fidel80@jamiiforums.com
Hivi kwa mfano nakupa no. ya simu then nakuita billionairsclub are you ready to come??
Do you believe in long distance relationship?
I just want to put you in the biggest test ever in your life!
am gonna give you one of the best surprise you can ever get!!!
give me some minutes I will be back, let sign some documents..