Afariki dunia akijaribu kutoa ujauzito

Afariki dunia akijaribu kutoa ujauzito

DR SANTOS

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2019
Posts
12,846
Reaction score
28,106
Imenibidi nisubiri tuzike kwanza ili machungu yaishe, Kisha nilete Uzi hapa.

Ni ndugu yangu, ki ukoo yeye ni dada yangu, lakini upande wa mama huko. Mimi niliambiwa tu huyu ni dada yako na sikutaka kujua zaidi maana ishu za ukoo zinanichanganya sana.

Tumeonana December mwishoni tulipoenda kusalimia nyumbani Tukuyu.

Haijapita hata wiki toka tumeondoka kijijini tunapigiwa simu yule dogo amefariki dunia huku chanzo ikidaiwa ni kujaribu kutoa ujauzito Kwa dawa za mitishamba zilizompelekea kutoka damu nyingi mpaka mauti yalipomkuta.

Inaelezwa kwamba alikua alihofia kufukuzwa shule alikua anaingia kidato Cha tatu januari hii.

Pia alihofia ukali wa wazazi wake kwani wangeweza mfukuza nyumbani😓

So sad, miaka 17 tumeshampoteza
 
Pole sana mkuu.
Niliwah kufanya kazi sehem moja ndani ndani, wamama wengi mabinti zao walipokua wakichaguliwa tu kwenda sekondari wanakuja hospital wanakwambia muekee njiti mbili zile znazofunga kuzaa for 5 yrS.

UKiuliza kwanin wanakwambia bora ukimwi kuliko mimba. Ni kitu kinaumiza sana lakn ndo tanzania yetu
 
Mama yako si Ukoo wako.

UKOO ni zao lako na alipozaliwa Baba yako
Watoto wa shangazi hawana ukoo na wewe
Inategemea kama ukoo;
1. matrilineal (matriliny) - mtoto ni wa ukoo wa mama, hata jina la ukoo linatoka kwa mama
2. Patrinear (patriliny) - mtoto ni wa ukoo wa baba, hata jina la ukoo linatoka kwa baba
 
Pole sana mkuu.
Niliwah kufanya kazi sehem moja ndani ndani, wamama wengi mabinti zao walipokua wakichaguliwa tu kwenda sekondari wanakuja hospital wanakwambia muekee njiti mbili zile znazofunga kuzaa for 5 yrS.
UKiuliza kwanin wanakwambia bora ukimwi kuliko mimba.
N kitu kinaumiza sana lakn ndo tanzania yetu
Hawa ndo Wana akili
 
Imenibidi nisubiri tuzike kwanza ili machungu yaishe, Kisha nilete Uzi hapa.

Ni ndugu yangu, ki ukoo yeye ni dada yangu, lakini upande wa mama huko. Mimi niliambiwa tu huyu ni dada yako na sikutaka kujua zaidi maana ishu za ukoo zinanichanganya sana.

Tumeonana December mwishoni tulipoenda kusalimia nyumbani Tukuyu.

Haijapita hata wiki toka tumeondoka kijijini tunapigiwa simu yule dogo amefariki dunia huku chanzo ikidaiwa ni kujaribu kutoa ujauzito Kwa dawa za mitishamba zilizompelekea kutoka damu nyingi mpaka mauti yalipomkuta.
Inaelezwa kwamba alikua alihofia kufukuzwa shule alikua anaingia kidato Cha tatu januari hii.
Pia alihofia ukali wa wazazi wake kwani wangeweza mfukuza nyumbani[emoji29]

So sad, miaka 17 tumeshampoteza
Dogo kagoma kwenda kuzimu pekeyake kamwambia maza huko tunakwenda wote huniachi
 
Back
Top Bottom