Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,307
- 25,932
Timu ya soka ya Tanzania-Taifa Stars imepangwa kundi G na Nigeria,Misri na Chad katika kufuzu AFCON mwaka 2017 nchini Gabon.
Draw imefanyika leo jijini Cairo,Misri. Kila la kheri Taifa Stars
Draw imefanyika leo jijini Cairo,Misri. Kila la kheri Taifa Stars
Group A: Tunisia, Togo, Liberia, Djibouti
Group B: Democratic Republic of Congo, Angola, Central African Republic, Madagascar
Group C: Mali, Equatorial Guinea, Benin, South Sudan
Group D: Burkina Faso, Uganda, Botswana, Comoros
Group E: Zambia, Congo, Kenya, Guinea Bissau
Group F: Cape Verde, Morocco, Libya, Sao Tome
Group G: Nigeria, Egypt, Tanzania, Chad
Group H: Ghana, Mozambique, Rwanda, Mauritius
Group I: Ivory Coast, Sudan, Sierra Leone, Gabon
Kazi tutakuwa nayo lakini tutaweza tukidhamiria