AFCON 2017: Stars mdomoni mwa Nigeria, Misri na Chad

Du ndo kundi gani hilo sasa kwa sisi bigner...
 
Group G: Nigeria, Egypt, Tanzania, Chad

Kazi tutakuwa nayo lakini tutaweza tukidhamiria
Tanzania imetolewa Afcon 2017 hatakabla ya kucheza! Nadhani hii ndiyo headline ya kubeba habari hii ...
 
Tanzania imetolewa Afcon 2017 hatakabla ya kucheza! Nadhani hii ndiyo headline ya kubeba habari hii ...

Hapana mkuu, tujiandae kwa lolote japo huyu kocha wa sasa sina imani naye. Nadhani kosa kubwa alifanya Malinzi ni kumwondoa Kim Poulsen bila kujipanga.
 
Tanzania ipo kundi moja na Egypt, Nigeria na Chad....je tutaenda au ndio kama kawaida kichwa cha mwendawazimu?
 
Tutafungwa mechi zote isipokuwa mechi moja na chadi ndiyo tutatoa sale.
 
Kamati itaundwa hapo,saidia taifa stars ishinde..dah hii nchi kunawatu wanajuwa kupiga hela mambo mengne hata hayahitaji kamati yako wazi tu.!!
 
Hawa CAF wangekuwa wanaangalia pia na timu ndogo wazipe timu ndogo pekee.
 
Kenya na Uganda mkizembea kupita mtakuwa wapumbavu... laki si pesa vipi tutapita?? teh teh
 
Last edited by a moderator:
CHAN tu inatushinda sembuse AFCON
 
Mhhh! hiki kikombe sijui tunakiepuka vipi !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…