sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
Katika zile mechi za kuwania nafasi ya kufuzu AFCON, mwakani nchini Cameron.. Group L linaundwa na timu zifuatazo, Uganda, Cape Verde, Lesotho na Tanzania. Baada ya kila timu kucheza mechi 3, msimamo ndani ya hili kundi uko hivi..
1. Uganda. Timu hii inayoongozwa na 'mchezaji machachari' Okwi huku ulinzi wake ukiimalishwa na 'Beki Kisiki' Juuko Murshidi inaongoza kundi ikijikusanyia alama saba (7) baada ya kushinda mechi 2 na kudroo mechi 1.
2. Cape Verde. Timu hii inakamata nafasi ya pili ikiwa na alama zake nne (4) baada ya kushinda mechi 1, droo 1 na kufungwa mechi 1.
3. Lesotho. Inashika nafasi ya 3 ikiwa na alama mbili (2) baada ya kudraw mechi 2 na kufungwa 1.
4. Tanzania. Timu hii inayoongwa na wachezaji machachari kama Benno, Yondani, Kessy, Gadiel na kiungo bora kwa sasa Feisal inashika mkia wa kundi hili a alama zake mbili (2) baada ya kudroo mechi 2 na kufungwa mechi 1.
NB: Timu mbili (2) katika kila kundi zinafuzu kwenda next stage.. na mpaka sasa kila timu imebakiza mechi tatu (3) tu!!
1. Uganda. Timu hii inayoongozwa na 'mchezaji machachari' Okwi huku ulinzi wake ukiimalishwa na 'Beki Kisiki' Juuko Murshidi inaongoza kundi ikijikusanyia alama saba (7) baada ya kushinda mechi 2 na kudroo mechi 1.
2. Cape Verde. Timu hii inakamata nafasi ya pili ikiwa na alama zake nne (4) baada ya kushinda mechi 1, droo 1 na kufungwa mechi 1.
3. Lesotho. Inashika nafasi ya 3 ikiwa na alama mbili (2) baada ya kudraw mechi 2 na kufungwa 1.
4. Tanzania. Timu hii inayoongwa na wachezaji machachari kama Benno, Yondani, Kessy, Gadiel na kiungo bora kwa sasa Feisal inashika mkia wa kundi hili a alama zake mbili (2) baada ya kudroo mechi 2 na kufungwa mechi 1.
NB: Timu mbili (2) katika kila kundi zinafuzu kwenda next stage.. na mpaka sasa kila timu imebakiza mechi tatu (3) tu!!