Afcon 2022 mbovu sijapata ona

Afcon 2022 mbovu sijapata ona

Joined
Dec 23, 2021
Posts
56
Reaction score
228
Nimeangalia baadhi ya michezo ya afcon ikiwa ni pamoja na ule wa ufunguzi, wa Senegal na saiv naufatilia huu wa Morocco na Ghana.
Nachokiona ni soka bovu, nguvu ikitawala huku soka likichezwa taratibu sana Yan mtu mpaka unaboreka. Michuano mikubwa lakin hakuna mashabiki Yani kifupi hii michuano nasubir mpaka hatua ya nusu fainali ndo nirudi tena kuangalia.

Ni Bora uangalie hata mapinduz cup kuliko afcon
 
Mtaalam hata Mimi nimeona hivyohivyo .Yaani hakuna uleutamu wa AFCON.
 
Ndo watu wanataka timu za Africa ziongezwe World cup! Me naona zipunguzwe
 
Yani ukiondoa mechi ya mwenyeji Cameroon mechi zingine zote hakuna watazamaji.

Viwanja vitupu mpaka unajiuliza Hili ni Bonanza.

Yani aibu naona mimi.
 
One has to be fully vaccinated to enter the stadium...
 
Back
Top Bottom