U Umkonto JF-Expert Member Joined Dec 27, 2018 Posts 2,652 Reaction score 4,593 Sep 30, 2023 #1 Naomba kuuliza, jeTanzania, Kenya na Uganda zote hazitacheza mechi za kufuzu AFCON ya mwaka 2027? Nauliza hivyo ili kupata uelewa tu wa mambo kwa sababu sikufuatilia kwa kina baada ya taarifa kutoka.
Naomba kuuliza, jeTanzania, Kenya na Uganda zote hazitacheza mechi za kufuzu AFCON ya mwaka 2027? Nauliza hivyo ili kupata uelewa tu wa mambo kwa sababu sikufuatilia kwa kina baada ya taarifa kutoka.
stephot JF-Expert Member Joined Mar 1, 2012 Posts 17,216 Reaction score 26,225 Feb 12, 2024 #2 Kwa kiwanja walichocheza fainali za Afcon,hvi tumeshaanza maandalizi ya ujenzi wa viwanja,maana nimeona 2027 nchi za Africa mashariki ndio wata host mashindano...
Kwa kiwanja walichocheza fainali za Afcon,hvi tumeshaanza maandalizi ya ujenzi wa viwanja,maana nimeona 2027 nchi za Africa mashariki ndio wata host mashindano...