Afcon 2027

fimboyaukwaju

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2020
Posts
2,977
Reaction score
3,798
Hivi kweli kuwa kenya wamenyang'anywa nafasi ya kuandaa hayo mashindano?
 
Nafasi yao wamepewa Rwanda. Wakenya ni manyang'au wasiojitambua kwenye mambo ya msingi kama hayo.
 
Ila +254 ukiwaona wanavyotamba mitandaoni utaogopa, Kumbe bure kabisa.....
 
Viwanja vyao ni vya riadha za olympic ila vina pich ,viwanja vina viti vya zege
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…