AFCON BEACH SOCCER: Tanzania imeyaaga rasmi mashindano ya AFCON yanayoendelea Nchini Misri

Freelancer Wakala

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2016
Posts
1,193
Reaction score
828
Habari members wenzangu!!!
Matokeo ya mechi zilizochezwa leo 10/12/2018 kama ifuatavyo.
Morocco 5-4 Ivory Coast
Egypt 4-2 Madagascar
Nigeria 4-2 TANZANIA

Baada ya kupoteza mechi zote tatu katika kundi lake,ikiwa imefungwa 5-2 Libya,kisha 12-2 na Senegal na Leo 4-2 na Nigeria tarehe 10/12/2018,TANZANIA imeyaaga rasmi mashindano hayo yanayoendelea katika mji wa Sharm el Sheikh nchini Misri.

Chanzo Azam TV burudani kwa wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…