Afcon - Kusuka nywele , kupaka rangi , kuvaa hereni na kunyoa viduku hakuna msaada wowote .

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Moja ya vitu ambavyo wamefanikiwa wachezaji wengi wa kiafrica walioshiriki Afcon ni kuonyesha mitindo ya UREMBO , wengi walionekana walikwenda zaidi KUONYESHA MITINDO YA NYWELE NA KUPAKA RANGI , kiukweli soka kwao ilikuwa kipaumbele cha pili.

Na ndio maana wale ambao hawakwenda kuonyesha mitindo ( Egypt ) wamefanikiwa , hata kama kiwango chao hakikuwa kizuri , NAWATABIRIA KUTWAA UBINGWA.

Wito kwa wadogo zetu wa Serengeti Boys , huko muendako , Shedo , viduku , poda au kula Kungu hakutawasaidia chochote .

Soka siyo Urembo .
 
Unataka kuturudisha kule kwa zamani kwamba ujanja ni kununua nguo za mitumba.

Baadhi ya timu zimetoka kwavile bahati haikuwa upande wao na sio kwamba wachezaji walicheza kwa kiwango cha chini.
 
Unataka kuturudisha kule kwa zamani kwamba ujanja ni kununua nguo za mitumba.

Baadhi ya timu zimetoka kwavile bahati haikuwa upande wao na sio kwamba wachezaji walicheza kwa kiwango cha chini.
Lengo la wachezaji wengi ilikuwa kupigwa picha za maonyesho ya urembo tu .
 
Wanaume kusuka nywele, kuzipaka rangi, kuvaa hereni ndio utamaduni halisi wa kale wa Afrika. Kwa kuwa akili yako imeshakuwa whitewashed leo ndio unaona kuwa sio ustaarabu..

By the way jamaa wameshinda so zilizobaki zote ni blah blah...
 
Unataka kuturudisha kule kwa zamani kwamba ujanja ni kununua nguo za mitumba.

Baadhi ya timu zimetoka kwavile bahati haikuwa upande wao na sio kwamba wachezaji walicheza kwa kiwango cha chini.
Mfano bukinabe walipaswa kuwa mabingwa
 
Wanaume kusuka nywele, kuzipaka rangi, kuvaa hereni ndio utamaduni halisi wa kale wa Afrika. Kwa kuwa akili yako imeshakuwa whitewashed leo ndio unaona kuwa sio ustaarabu..

By the way jamaa wameshinda so zilizobaki zote ni blah blah...
Unadhani wameshinda kwa vile walikula kungu ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…