afcon sio nbc league

afcon sio nbc league

fimboyaasali

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2011
Posts
8,617
Reaction score
8,244
afcon inataka kocha mwenye profile kubwa sio kocha wa namungo,mbinu hamna,watu wanakimbia kimbia tu uwanjani bila mpango wowote ule
 
Wabongo mna NONGWA boli limetembea jana, changamoto ni akili ya wachezaji wenu, mentality yao baada ya lile goli na kadi nyekundu ni kwamba wamemaliza mechi. Ile nguvu, upambanaji ukapungua.
 
Back
Top Bottom