Ukweli usiopingika timu ya Taifa ya Uganda jana ilikuwa kama inafanya mazowezi.
Inafaa tuwapongeze kwa kutuwezesha kupata ushindi.
Ukimpongeza mshindi usimsahau aliyepambana nae.
Hata tulipotoa nao sare kwao walikuwa wanafanya mazoezi kwani walishafuzu?.
Roho mbaya na husda huwa hazina sababu wala mantiki. Ni chuki tu.UTAIFA kwanza.
AFCON here we come.
Hata tulipotoa nao sare kwao walikuwa wanafanya mazoezi kwani walishafuzu?.
Roho mbaya na husda huwa hazina sababu wala mantiki. Ni chuki tu.UTAIFA kwanza.
AFCON here we come.
Write your reply...
ndio ni kweli,jamaa hawakutaka kuifanya mechi kuwa ngumu lakini kuna wabongo hawawezi kukuelewa,afrika mashariki oyeeee,cecafa oyeee