AFCON (u17)-2017 Gabon: Serengeti boys special thread

Hawa watoto wawekewe kinga ya kisheria ni MARUFUKU kuchezea vilabu vyetu vya majungu na fitina. Angalau hata first eleven yote itoke ikacheze ulaya kwenye umri huu.
Mkuu nimewaza hivyo...
 
Much congrats to our Serengeti Boys.

Keep our flag higher!.
 
Unaota wewe hao Ghana ndo natabiri mabingwa wa mwaka huu
Wakenya mkowengi kweli kwenye uzi huu! Kwa taarifa yako Tanzania tunashida kombe hili kwa bao 2-0 siku ya Fainali.
======
Serengeti Boys 2 Angola 1. Asante sana vijana, Hongera sana Shime na benchi la Ufundi. Yaani hadi raha; unatoka kuangalia timu ya taifa lako kwa kicheko na furaha. Tumevikosa muda mrefu vitu hivi. Tusonge mbele hadi kombe la dunia.
------------
Kuna website hii hapa chini inatoa taarifa na habari za haraka sana za michuano hii. Moderators mwaweza kuiweka hapo juu watu wafuatilie.

Suleiman fires Tanzania U17 to Group B summit - 2017 U17 Africa Cup of Nations - Angola U17
 
Hawa vijana wapo vinzuri haswaa. Wameiva kwa kweli.
 
Hawa watoto wawekewe kinga ya kisheria ni MARUFUKU kuchezea vilabu vyetu vya majungu na fitina. Angalau hata first eleven yote itoke ikacheze ulaya kwenye umri huu.
Simba na Yanga kama wanaitakia mema Tanzania na soka lake wasiwaguse kabisa vijana hawa. Nadhani wanajijua wasiwaguse kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…