Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kuzaa watu wameiga, kumbuka kuna mtu wa kwanza kuzaa, kwa hiyo watu wasitengeze sababu wataonekana wameiga.Sasa huo ni muundo kwa hiyo alienzisha gari la kwanza nae akatazie.MASOUD MNAZIDI KUMCHUKIA SIJUI KWA NINI.
Wewe humchukii ila wabongo wanamchukia.Ndivyo walivyo licha ya upuuzi wake lakini kuna kupata hapa.masoud ajachukiwa labda ni wewe unavofikiri.Kuunda kitu ni kipawa kubwa ila kuendeleza ni kipaji sababu ujaunda wewe ila umeboresha...