huyu kudhitskiwa itakuwa nzuri sana, kwani inategemeana picha hizo alizipiga kwa mwelekeo hani. kama alionyesha uke, ambazo nafikiri zipo hivyo, ndo maana wanaziita picha za ngono, maana yake alionyesha uke wa mama mzazi ambayo ni kitendo cha kinyama, bila kujari justification ya sababu yake- na naamini hakumwomba mama wala hakumwambia madhara yule mama ya picha zake akiwa mtupu kusambazwa miongoni mwa watu-fikiria angekuwa mkeo kaanikwa uchi, na mama yako kaachwa uchi ungefanya nini. huyu aadhibiwe kwa adhabu kali itakayostahili, ikiwezekana naye apigwe picha akiwa uchi, akiwa anakunya tu, halafu zisambazwe. mjinga kabisa huyu.