Afisa Elimu Wilaya ya Iringa Vijijini anabaka elimu

Afisa Elimu Wilaya ya Iringa Vijijini anabaka elimu

Moise Aimar

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2012
Posts
216
Reaction score
406
Afisa huyu Bwana Pandawe amelewa madaraka anakula hela za likizo za walimu yeye na maofisa wake walimu wakiuliza wanapewa vitisho vya kuhamishwa na ni kweli anawahamisha ovyo ama kwa hakika elimu inabakwa ,Wilaya ya Iringa vijijin ilkua ni wilaya bora kielimu mkoani Iringa uwepo wa Pandawe umeshusha na utadidimiza zaidi elimu katika wilaya hii.

Dharau kwa walmu na wanafunzi waumini wa dini ya kiislamu;imezoeleka kote Tanzania siku ya Ijumaa waislamu huenda kuswali na kurudi masomoni lakini Bwana mkubwa Pandawe anaetamba kua hakuna wa kumfanya kitu kafuta utaratibu huu haki iko wapi?

Kote nchini Tanzania mwalimu akipanda cheo ama daraja analipwa pesa lakini sio chini ya mkubwa Pandawe anaejiona kama rais ama mfalme,sasa walimu hawalipwi stahiki zao

Wilaya zote za mkoa wa Iringa wanafunzi wanarudi nyumbani saa nane lakini ni kinyume kwa Iringa vijijini ambapo bwana mfalme Pangawe anataka watoto warudi nyumbani saa kumi na nusu jioni ama kwa hakika Pandawe anabaka elimu

Bila mwalimu wewe ungekua ulivyo?
 
weupo primary level pole yako ndo maana unasumbuliwa naka division 4 kako
 
Afisa huyu Bwana Pandawe amelewa madaraka anakula hela za likizo za walimu yeye na maofisa wake walimu wakiuliza wanapewa vitisho vya kuhamishwa na ni kweli anawahamisha ovyo ama kwa hakika elimu inabakwa ,Wilaya ya Iringa vijijin ilkua ni wilaya bora kielimu mkoani Iringa uwepo wa Pandawe umeshusha na utadidimiza zaidi elimu katika wilaya hii.

Dharau kwa walmu na wanafunzi waumini wa dini ya kiislamu;imezoeleka kote Tanzania siku ya Ijumaa waislamu huenda kuswali na kurudi masomoni lakini Bwana mkubwa Pandawe anaetamba kua hakuna wa kumfanya kitu kafuta utaratibu huu haki iko wapi?

Kote nchini Tanzania mwalimu akipanda cheo ama daraja analipwa pesa lakini sio chini ya mkubwa Pandawe anaejiona kama rais ama mfalme,sasa walimu hawalipwi stahiki zao

Wilaya zote za mkoa wa Iringa wanafunzi wanarudi nyumbani saa nane lakini ni kinyume kwa Iringa vijijini ambapo bwana mfalme Pangawe anataka watoto warudi nyumbani saa kumi na nusu jioni ama kwa hakika Pandawe anabaka elimu

Bila mwalimu wewe ungekua ulivyo?

Uelewa wako ni mdogo thibitisha kwa vielelezo , mfano amri ya kuwazuia waislamu kuhudhuria Swala ya Ijumaa iliyotolewa na boss wako.......la sivyo rudi shule kwanza uka-resiti
 
weupo primary level pole yako ndo maana unasumbuliwa naka division 4 kako
Sioni kama kuna uhusiano wowote kati ya kuwa mwl wa shule ya msingi/division four na madai ya Bw Moise Aimar...........nani kakwambia kuwa walimu wote wa shule za msingi wana division four?na kwa taarifa yako hakuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya uelewa wa mtu na ufaulu wa darasani...............
 
  • Thanks
Reactions: tz1
uelewa wako ni mdogo thibitisha kwa vielelezo , mfano amri ya kuwazuia waislamu kuhudhuria swala ya ijumaa iliyotolewa na boss wako.......la sivyo rudi shule kwanza uka-resiti
wewe una `degree` ngapi?
 
kwani kuwa Mwalimu wa Primary tatizo nini? acha kujishaua hapo umefikaje mkuu bila mwalimu wa Primary? Heshim kazi za watu ka huna mchango just pita sio lazima utoe maoni ..... Poleni Iringa vijijni fuateni taratibu za kumrekebisha please!
 
  • Thanks
Reactions: tz1
Maafisa Elimu wengi ni tatizo sana hasa wa primary,yaan wanahitaji kutukuzwa sana ndio wawape walimu haki zao,
mfano kuna afisa elimu aliyemaliza muda wake wilaya ya chato na kuhamia geita (Kyaruzi Ishengoma) huyu mzee ni roho mbaya na anayeendekeza rushwa kupitia wasaidizi wake,..
 
Afisa huyu Bwana Pandawe amelewa madaraka anakula hela za likizo za walimu yeye na maofisa wake walimu wakiuliza wanapewa vitisho vya kuhamishwa na ni kweli anawahamisha ovyo ama kwa hakika elimu inabakwa ,Wilaya ya Iringa vijijin ilkua ni wilaya bora kielimu mkoani Iringa uwepo wa Pandawe umeshusha na utadidimiza zaidi elimu katika wilaya hii.

Dharau kwa walmu na wanafunzi waumini wa dini ya kiislamu;imezoeleka kote Tanzania siku ya Ijumaa waislamu huenda kuswali na kurudi masomoni lakini Bwana mkubwa Pandawe anaetamba kua hakuna wa kumfanya kitu kafuta utaratibu huu haki iko wapi?

Kote nchini Tanzania mwalimu akipanda cheo ama daraja analipwa pesa lakini sio chini ya mkubwa Pandawe anaejiona kama rais ama mfalme,sasa walimu hawalipwi stahiki zao

Wilaya zote za mkoa wa Iringa wanafunzi wanarudi nyumbani saa nane lakini ni kinyume kwa Iringa vijijini ambapo bwana mfalme Pangawe anataka watoto warudi nyumbani saa kumi na nusu jioni ama kwa hakika Pandawe anabaka elimu

Bila mwalimu wewe ungekua ulivyo?

Pole sana ndugu yangu maafisa elimu kama huyo wa kwako wako wapo wengi. Ni mwaka jana tu nlikuwa Mkoani Lindi wilaya ya kilwa, huko nako yupo mmoja upande wa sekondari huyu utendaji wake ni kuboronga tu, huyu anahodhi kila kitu na hamwamini mtu yeyote. Haishangazi kuona wilaya yake imetoa shule mbili za mwisho kitaifa. Huyu jamaa anastaafu march 2013 basi anamwona kila mtu mbaya wake kwa hiyo watu wamemwachia afundishe mwenyewe kama anaweza.

 
Afisa huyu Bwana Pandawe amelewa madaraka anakula hela za likizo za walimu yeye na maofisa wake walimu wakiuliza wanapewa vitisho vya kuhamishwa na ni kweli anawahamisha ovyo ama kwa hakika elimu inabakwa ,Wilaya ya Iringa vijijin ilkua ni wilaya bora kielimu mkoani Iringa uwepo wa Pandawe umeshusha na utadidimiza zaidi elimu katika wilaya hii.

Dharau kwa walmu na wanafunzi waumini wa dini ya kiislamu;imezoeleka kote Tanzania siku ya Ijumaa waislamu huenda kuswali na kurudi masomoni lakini Bwana mkubwa Pandawe anaetamba kua hakuna wa kumfanya kitu kafuta utaratibu huu haki iko wapi?

Kote nchini Tanzania mwalimu akipanda cheo ama daraja analipwa pesa lakini sio chini ya mkubwa Pandawe anaejiona kama rais ama mfalme,sasa walimu hawalipwi stahiki zao

Wilaya zote za mkoa wa Iringa wanafunzi wanarudi nyumbani saa nane lakini ni kinyume kwa Iringa vijijini ambapo bwana mfalme Pangawe anataka watoto warudi nyumbani saa kumi na nusu jioni ama kwa hakika Pandawe anabaka elimu

Bila mwalimu wewe ungekua ulivyo?

poleni sana mgimwa na lukuvi wanayajua haya
 
Back
Top Bottom