Afisa Elimu wilaya ya Ngara

Nkaka

Senior Member
Joined
Apr 7, 2014
Posts
108
Reaction score
16
Tafadhari mkuu wa sekondari Muganza ni tatizo nashauri afanyiwe special Audit na amekuwa kero nashauri ahamishwe
 
Mbona balaa sijui hata tutafanyaje kama mwenye uzi huu ni mtumishi wa umma, naionea huruma kodi tunayolipa ambayo inalipa mshahara aina hii ya watu. Ndio maana wafanyabiashara wanakuwa wakali wanapoambia kutumia mashine ili walipe kodi halali
 
Nieleweke kuwa mie nawakilisha wazaz wenye watoto pale Headmaster huyu ni mbish na hata ukitaka kumhamisha mtoto hakupi ushirikiano
 
Idadi kubwa ya wazaz wanaishia kuwahamishia private sc.na anatoa vitisho vyakuwafuata watoto huko kwa lengo lakuwaharbia masomo
 
Ukiona mkuu wa shule anayegomea uhamisho wa mtoto ujue shule ameigeuza SACCOS hafai laiti ungelikuwa na mdogo wako pale ungenielewa
 
achen umbea me nmefanya nae kaz hapo miaka mi2 hana noma
 
Acha uvivu wewe!mialimu ya dotcom mapumbavu kwelkwel,..kazi uvivu,utoro,
 
Tafadhari mkuu wa sekondari Muganza ni tatizo nashauri afanyiwe special Audit na amekuwa kero nashauri ahamishwe

Lazima We utakuwa mwanamke! Sijakuelewa vizuri 'UNATAKA AFUKUZWE KAZI AU AHAMISHWE?' kama ahamishwe,JE AKIHAMISHIWA SHULE AMBAYO NA WEWE UNATAKA KUMUHAMISHIA MWANAO,UTAOMBA AHAMISHWE TENA? N:B-Wasofaa makazini ni wakufukuzwa sio kuhamishwa!
 
Sasa akikosa wanafunzi ataiendeshaje shule?
kwahiyo ubishi tu ndo aje akaguliwe? Teh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…