Afisa Habari wa Yanga: Tumejiweka vizuri katika mbio za ubingwa VPL

Afisa Habari wa Yanga: Tumejiweka vizuri katika mbio za ubingwa VPL

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001


Katika hali ya kushangaza Afisa Habari wa Yanga Hassan Bumbuli amesema wamejiweka vizuri na mechi ya kesho katika mbio za kutwaa ubingwa wa VPL.

Ameeleza hayo akihojiwa na Azam Sports leo wakati Yanga ikifanya mazoezi kujiandaa na mechi ya kesho dhidi ya KMC.

Nasema hali ya kushangaza kwa sababu ili Yanga ichukue ubingwa inabidi Simba SC afungwe mechi 7 huku Yanga SC ikifunga mechi zote 15 zilizosalia.

My Take:
Wasemaji wa Yanga wawe wanapewa karatasi wasome mbele ya media, wanaropoka sana.
 
Simba bila mbeleko/makandokando haina uwezo wa kushinda mfululizo.Ndio maana mwekezaji anachanganyikiwa. Siku marefa wakijitambua Simba haina uwezo wa kumaliza katika tatu bora.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nguvu mlioitumia tarehe 8 kumfunga simba mngeitumia kwenye mechi zote hivi mshatangaza ubingwa.. we utoe sare nne mfululizo kisha ulalamike simba anabebwa. Yani nyie mnashangaza kweli
 
Simba bila mbeleko/makandokando haina uwezo wa kushinda mfululizo.Ndio maana mwekezaji anachanganyikiwa. Siku marefa wakijitambua Simba haina uwezo wa kumaliza katika tatu bora.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii kauli mliitoa kabla hata mzunguko wa pili haujaanza, cha ajabu mkatoa dro nne na huku Simba akishinda mfululizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika hali ya kushangaza Afisa Habari wa Yanga Hassan Bumbuli amesema wamejiweka vizuri na mechi ya kesho katika mbio za kutwaa ubingwa wa VPL.

Ameeleza hayo akihojiwa na Azam Sports leo wakati Yanga ikifanya mazoezi kujiandaa na mechi ya kesho dhidi ya KMC.

Nasema hali ya kushangaza kwa sababu ili Yanga ichukue ubingwa inabidi Simba Sc afungwe mechi 7 huku Yanga Sc ikifunga mechi zote 15 zilizosalia.

My Take
Wasemaji wa Yanga wawe wanapewa karatasi wasome mbele ya media,wanaropoka sana

Ukiwa Mikia lazima uwe mbumbumbu, wewe na Bumbuli nani anaropoka? Kwenye soka lolote linaweza tokea ndio maana timu zinapambana hadi dakika ya mwisho.
 
Back
Top Bottom