Afisa Habari wa Yanga: Tumejiweka vizuri katika mbio za ubingwa VPL

Simba bila mbeleko/makandokando haina uwezo wa kushinda mfululizo. Ndio maana mwekezaji anachanganyikiwa. Siku marefa wakijitambua Simba haina uwezo wa kumaliza katika tatu bora.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ni kweli kabisa,
Hata ile mbeleko ya goli kuwa ni mpira wa kona ilikuwa ni too much

Marefa wanaibeba sana simba
 
Nguvu mlioitumia tarehe 8 kumfunga simba mngeitumia kwenye mechi zote hivi mshatangaza ubingwa.. we utoe sare nne mfululizo kisha ulalamike simba anabebwa. Yani nyie mnashangaza kweli
Si tunacheza mpira na tunapambana,approximately points17-20 mmezipata kwa utapeli.......nitakuletea mechi zote zenye makandokando utaelewa vizuri baadaye
 
Kuna mwenzako mechi ya tarehe 8/3/2020 alisema Yanga wakishinda anaukana Uislam na viapo vingine kibao.

Huyu hapa mkuu,jana nimeona nyingine amevaa kanzu anasemayeye si shabiki wa mpira tena
Your browser is not able to display this video.
 
Bado unakiwewe cha mpini mmoja wa nguvu wa tarehe 8 , kwa kipi hakiwezekani kwenye mpira?

-
 
Hilo ni tatizo la kuchukuwa watoto wa dada zao na kuwapa hivyo vitengo, badala ya kupambana kushika nafasi ya 2 anawaza ubingwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si tunacheza mpira na tunapambana,approximately points17-20 mmezipata kwa utapeli.......nitakuletea mechi zote zenye makandokando utaelewa vizuri baadaye
Yani ww kweli ndala fc.. umetoa 17_ 20 points.. unazodai za utapeli kwa hiyo apo simba na yanga zitalingana point au kupishana kidogo sana😂 hebu nifafanulie hapo kwenye huo utapeli wa points 17_20 simba ilizozipata kwa utapeli
 
Yani ww kweli ndala fc.. umetoa 17_ 20 points.. unazodai za utapeli kwa hiyo apo simba na yanga zitalingana point au kupishana kidogo sana😂 hebu nifafanulie hapo kwenye huo utapeli wa points 17_20 simba ilizozipata kwa utapeli
Nitakuletea takwimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…