Afisa Magereza aacha kazi aolewa na mfungwa mbakaji

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Afisa Magereza aacha kazi aolewe na mfungwa mbakaji

Alison kushoto na Royston Wednesday, February 04, 2009 6:01 AM



SRC-NIFAHAMISHE.COM
 
Penzi ni kikohozi, kulificha huliwezi. Kama wamependana ni haki yao kuoana.
 
Last edited:
Inzi kufia ndani ya kidonda jamani!!! Acha wapendane. Sasa sielewi ni upendo wa kweli au ni mazingira yaliwafanya waanguke katika penzi maana jamaa alikuwa amefungwa na hakuwa na choice kwani ukiwa mfungwa unasahau kabisa ile habari. Kwa mantiki hiyo kila demu anaonekana fresh. Tuwape muda tuone yatakayojiri katika mahusiano hayo, maana huenda pia bibie alikuwa desparate baada ya kuachika. Pia yawezekana kuna ka upendo ndani mwao, who knows???? Fall falll faaaaaaall in loooooooove.
 
Je yafaa kukaa hapa kwenye jukwaa la siasa?????
Hapana, kuna ukumbi wa Mapenzi ambako ndiko inafaa kukaa huko ili iweze kujadiliwa kwa kina. Hata hivyo tatizo la uvivu la wajumbe wengi kutembelea sehemu nyingine humu ndani ya JF linazidi kuwa kubwa.
 
Duuh!! Kweli JF inakokwenda siko! Sioni mantiki ya thread kuwa hapa kwenye jukwaa la siasa! Let's try and be more serious on issues that matter the most.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…