Nyakageni
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 15,045
- 5,108
Ni pesa ya wanachuo waliohamia vyuo vingine toka chuo hicho! Kilichofanyika ni kwamba, pesa baada ya kufika chuoni kwao waliandika bank account fake na kisha ku-sign. Mbaya zaidi ni kwamba mtandao wao umefika mpaka benki ya NMB. Vijana watano wamefika hapa wizara ya fedha na kisha kuzungumza na wanasheria. Kesho wanaripoti polisi na kisha kufungua kesi iwapo chuo kitawapuuza! Nitawapa updates kwani asubuhi wanaanzia chuoni hapo