Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,217
- 3,694
Leo katika taarifa ya habali iliyorusha itv ilimuonesha afisa mkuu wa polisi kitengo cha interijensia
kutokana na kufika hospitali na kujitambulisha afisa usalama ametumwa na kamanda mkuu kuchunguza mwili wa dk.steven ulimboka ......baada ya muda alijikuta na akipatiwa kipigo na meno yake mawili yalivunjika....na madaktari waliokuwa wakimuhudumia dk.ulimboka..........source itv news
kutokana na kufika hospitali na kujitambulisha afisa usalama ametumwa na kamanda mkuu kuchunguza mwili wa dk.steven ulimboka ......baada ya muda alijikuta na akipatiwa kipigo na meno yake mawili yalivunjika....na madaktari waliokuwa wakimuhudumia dk.ulimboka..........source itv news