Hivi kweli umbumbumbu ni mzigo, hawa watu ambao wala si madaktari wala hawana elimu ni form four failure wamepanda tu kwa kukubali kujilegeza mbele ya mabasha zao wanapataje courage ya kuchangia mjadala wa wasomi na kuongea pumba? hawana tofauti na yule mbunge wa ccm korogwe professor wa kangaoo college bin mitishamba aliyejamba kuhusu inflation na kudai kwa nini chadema wasiipunguze kwenye maeneo yao? what an embarassment ndio tabu ya watu wanaojiita tiss wa kubebwa kwa vigezo tunavyovijua, kwa sasa wanawa embarass wale tiss professionals maana hawajui hivi vinuka nuka vimetoka wapi, wanasema wameitwa tu kupika umbea maana hayo ndio boss anayopenda ndio maana katika wasomi wote wa uandishi wa habari wakongwe kama wakina atilio tagalile, karashani, Hilal Sued, etc akaona kungwi ni muhidini issa michuzi, kichefuchefu mummy, kisa kaanzisha blog jamaa hajua kwamba blog kwa sasa ni sawa na daftari la darasa la pili kila mtu analo, basi bora angemchukua Maxine maana kafanya makubwa lakini hawezi kwa sababu ya dini na sio wa kulamba masaburi na anauwezo wa kuzalisha mwenyewe sio mtu wa kubebwa, matokeo yake ka reduce press team ya ikulu to street talk jobless corner quality, shame na sasa ndio tumefika mwisho