TANZIA Afisa Mtendaji Mkuu Wa PPRA afariki dunia

kuna watu hadi sasa wamekuwa wabishi hawataki kuvaa barakoa kwa madai eti wanashindwa kupumua!!
kwa hiyo kupumua kunatisha zaidi kuliko kifo?!!
tuchukue tahadhari. r.i.p
 
View attachment 1858530

Mhandisi Leornard S. Kapongo aliyekuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Kudhibiti Ugavi wa Umma(PPRA) amefariki dunia

Alikuwa anapatiwa matibabu katika hospitali ya Agha Khan, amefariki Julai 17 jioni
Tunatoa pole kwa familia ya marehemu, bodi ya wakurugenzi...

Nilidhani angeandika ...yeye mwenyekiti anatoa pole kwa badala ya tunatoa...
 
COVID-19, ni tatizo tusipochukua tahadhari tutarudia uchaguzi mkuu tena au tutafuata tena Katiba ya mwaka 1977
 
RIP
Engineeer alafu PPRA au ndio enzi za kanda yetu,beer yetu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…