Uchaguzi 2020 Afisa Mwandamizi, Geofrey Timoth achukua fomu kugombea Ubunge Jimbo la Kawe kupitia CCM

MIMI BABA YENU

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2019
Posts
305
Reaction score
728
Afisa Mwandamizi Usimamizi wa Fedha kutoka Management ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ndugu Geofrey Timoth leo asubuhi katika Ofisi za Chama Cha Mpinduzi (CCM) Wilaya ya Kinondoni amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Kawe kwa kupitia chama hicho.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…