Afisa Tawala ana wajibu gani?

Habari,

Je, kazi au wajibu wa AFISA TAWALA DARAJA LA II ni upi? Msaada
In simplest terms


Wakati Afisa Utumishi anadili na WATUmishi, yaani stahiki zao, likizo, mafao, mafunzo n.k.

Afisa Tawala anadili na VITU/mifumo ya ofisi
Umeme, maji, mafuta - diesel kwa magari, petrol kwa jenereta, matengenezo, viwanja na majengo ya taasisi, kutunza kumbukumbu muhimu za matukio ya kiofisi n.k.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…