Afisa Ugavi Daraja la II Bunge la Tanzania - 2 Posts

Afisa Ugavi Daraja la II Bunge la Tanzania - 2 Posts

Jamii Opportunities

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2014
Posts
4,876
Reaction score
1,549
POSTAFISA UGAVI DARAJA LA II - 2 POST
EMPLOYERParliament of Tanzania
APPLICATION TIMELINE:2022-06-11 2022-06-24
JOB SUMMARYNIL
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i. Kutayarisha makisio ya vifaa vinavyohitajika (Schedule of Requirements);
ii. Kuandaa utaratibu wa upokeaji wa vifaa;
iii. Kukusanya na kutunza takwimu za upokeaji, utunzaji na usambazaji wa vifaa. Kusimamia upokeaji, utunzaji na usambazaji wa vifaa (Physical Distribution);
iv. Kubuni mfumo wa uwekaji na utunzaji wa vifaa ghalani (Location Index Design);
v. Kuandaa taarifa mbalimbali za vifaa;
vi. Kuhesabu na kutoa taarifa ya thamani ya vifaa vilivyomo ghalani kwa kufuata taratibu zilizopo;
vii. Kuandaa hati za kupokelea vifaa;
viii. Kutoa vifaa kwa watumiaji (Distribute goods to User department and other users); na
ix. Kufanya kazi nyingine za fani yake atakazopangiwa na Mkuu wake wa kazi.
QUALIFICATION AND EXPERIENCE
Mwombaji awe na Shahada/Stashahada ya juu ya Ununuzi/Ugavi kutoka katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali AU awe na "Professional level Ill" inayotolewa Bodi ya Wataalamu wa Ununuzi na Ugavi nchini (Procurement and Supplies Professionals and Technicians Board - (PSPTB) au sifa nyingine inayolingana na hiyo inayotambuliwa na PSPTB, ambaye amesajiliwa na PSPTB kama "Graduate Procurement and Supplies Professional".
REMUNERATIONPSS D

CLICK HERE TO APPLY
 
Back
Top Bottom