Uchaguzi 2020 Afisa Uhusiano wa Clouds, Simon Simalenga maarufu 'Dimera' achukua fomu kuomba ridhaa ya CCM kuwania Ubunge Kawe

Uchaguzi 2020 Afisa Uhusiano wa Clouds, Simon Simalenga maarufu 'Dimera' achukua fomu kuomba ridhaa ya CCM kuwania Ubunge Kawe

mwanamwana

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
1,309
Reaction score
4,798
Simon Simalenga achukua fomu ya Ubunge Kawe, Simalenga ambaye ni Afisa Uhusiano wa CLOUDS. Ni Muhitimu wa Stashahada ya Uzamili katika Masuala ya Menejimenti ya Uhusiano wa Kimataifa Chuo cha Diplomasia na ana Degree ya Siasa na Maendeleo ya Jamii Chuo cha Kumbukumbu ya Mwl. Nyerere

Pia soma:
> Simon Simalenga ni nani? Anajipendekeza utawalani kwa maslahi ya nani?
> Star TV: Simon Simalenga anachambua siasa kuelekea uchaguzi Mkuu Oktoba 2015
> Yuko wapi huyu muigizaji alikuwa fundi sana

Simalenga.jpg
 
Back
Top Bottom