KERO Afisa Utumishi anazungusha kubadili tarehe za likizo tokea Novemba 2024

KERO Afisa Utumishi anazungusha kubadili tarehe za likizo tokea Novemba 2024

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Tangu Novemba 2024 nimekuwa niliwasiliana na HRS wahuishe na kubadili TAREHE za likizo, mwezi Novemba ukaisha, Disemba umeisha mpaka sasa Januari kila siku nitabadilisha nitabadilisha .

Wadau Ma-HR mlio humu na Ma-IT wa Halmashauri hivi kufanya mchakato huo ni masaa mangapi? Kuna ugumu gani kufanya jambo hilo?

Naomba kujuzwa labda Mimi ndo sijui
 
Back
Top Bottom