DOKEZO Afisa utumishi wilaya ya TUNDURU ahongwa na CWT ili asiwatoe walimu kuoka CWT kwenda chama cha CHAKUHAWATA

DOKEZO Afisa utumishi wilaya ya TUNDURU ahongwa na CWT ili asiwatoe walimu kuoka CWT kwenda chama cha CHAKUHAWATA

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Feld Marshal Tantawi

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2014
Posts
655
Reaction score
1,069
Naandika haya kwa masikito makubwa makubwa sn na ninasikitika kuona sheria zinachezewa wakat sheria ziko waz na zimeweka waz kila kitu.

Afisa utumishi wilaya ya Tunduru kwa majina MASANJA CHUMA KENGESE ameamua kujitengenezea sheria zake mwenyewe na kuacha kufata sheria pamoja na miongozo ya serikali inataka nini

Naomba kuzijulisha wizara mbili zinazohusika na suala hili zichukue hatua mara moja na wasikubali kupakwa matope na mjinga mmoja.

Wizara ya kaz na ajira na mahitaji maalumu kwa kushirikiana na wizara ya utumish wa uma ndio wenye dhamana ya kudili na mambo haya ya vyama vya wafanyakazi.

Cha kusikitisha na kinachotia kichefuchefu ni kuona kuwa mkurugenzi wa halmashauri ambaye ndio bos wa huyu afisa utumishi yeye kesharuhusu walimu kutolewa kutoka CWT kwenda CHAKUHAWATA lkn eti afisa utumishi hataki licha ya kutakiwa na mkurugenz kufanya hivo.

Sasa sisi kama walimu tunajiuliza huyu afisa utumishi MASANJA CHUMA KENGESE katumwa na nani kufanya haya na anafaidika na nini?

Swali lingine ni kuwa kama mkurugenz ndio bosi wake hapo halmashaur sasa yeye anapokea maagizo kwa nani ambaye ndio bos wake mpya?

Kama bos wake mpya ni mwenyekiti wa CWT bas atuachie kaz ya utumishi na akafanye kaz za CWT.

Tunaomba kabla hatujafikisha malalamiko yetu haya kwa mh waziri mkuu tunaomba wizara husika zideal na hili suala na kulipatia ufumbuz haraka na ikiwezekana wadeal na huyo afisa utumishi ambaye hataki fata sheria wala miongozo

Kama huyu afisa utumishi ataendelea na tabia hii bas tuko tayar kufunga safar had kwa mh RAIS na kumjulisha haya na mengine mengi yaliyojificha katika halmashauri ya Tunduru

Naomba kuwasilisha
 
Majungu at work
Sio majungu ndugi ni ukweli usiopingika. Kujiunha kwenye hivyo vyama ni hiyari. Asilimia 2 wanayokata ni hela nyingi sana ukilinganisha na hali ya maisha yalivyo.

Kuna rafiki angu naye nilimsikia akilalamika ameandika kujitoa mkurugenzi wake ameruhusu ila utumishi amezingua. Sasa kama hawalipwi na hivyo vyama inakuwaje wanakataaa kuwatoa. Basi bora wangewaambia kujiunga ni lazima ijulikane moja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama unaona hujatendewa Haki fuata utaratibu sio kuleta majungu na kumchafua mtu mwenye Legacy yake isiyokuwa na chembe ya ubabaishaji hata kidogo fuatilia Historia yake. tatizo walimu mnataka shortcut na hamtaki kufuata taratibu.
JPEG_20230514_165015_5210724566677824534.jpg
 
Kama mmefuata hatua zote kisheria zinazotakiwa ili mtumishi ajitoe huko Cwt ikiwa ni pamoja na kujaza notice ya siku 30 kujaza fomu iitwayo TUF 15 kuambanisha na barua ya uanachama wa chakuhawata pia mkatekeleza takwa la kisheria la kumpelekea katibu Cwt nakala ya notice kwa njia ya Ems kwa kuwatumia posta .Hakika nawaambia huyo Ngosha hili suala mkilifikisha kwa RAS then TAMISEMI atarudi kwao mapema na kuanza kuchunga ng'ombe
 
Hicho chama chenu CHAKUHAWATA ndio kile kilichoanzishwa na wapinzani wa serikali chenye makao yake makuu Kigoma Ujiji? Huyo mkurugenzi aliyepitisha mjiunge na hicho chama aidha hajuwi CWT ina uhusiano gani na serikali aelezwe.
 
Kama unaona hujatendewa Haki fuata utaratibu sio kuleta majungu na kumchafua mtu mwenye Legacy yake isiyokuwa na chembe ya ubabaishaji hata kidogo fuatilia Historia yake. tatizo walimu mnataka shortcut na hamtaki kufuata taratibu.View attachment 2621667
Taratibu ameshazifata kwa maana ameandika barua kwa mkurugenzi kisha akaielekeza kwa utumishi. Jukumu la afisa utumishi ni kumwelekeza kama barua haijajitosheleza basi amwambie aende wapi.

Kama Afisa utumishi hajampa ushirikiano mtumishi aende wapi. Ndo tunaweza tukaona ni majungu lkn kama mtu anayepaswa kumsaidia hajamsaidia mtumishi akimbilie wapi? Maana akisema aanze amshtaki mwisho wake ashindwe kupandishwa madaraja mtumishi wa watu apate stresss.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hicho chama chenu CHAKUHAWATA ndio kile kilichoanzishwa na wapinzani wa serikali chenye makao yake makuu Kigoma Ujiji? Huyo mkurugenzi aliyepitisha mjiunge na hicho chama aidha hajuwi CWT ina uhusiano gani na serikali aelezwe.
Kama huna hoja kaa kimya
 
Kama mmefuata hatua zote kisheria zinazotakiwa ili mtumishi ajitoe huko Cwt ikiwa ni pamoja na kujaza notice ya siku 30 kujaza fomu iitwayo TUF 15 kuambanisha na barua ya uanachama wa chakuhawata pia mkatekeleza takwa la kisheria la kumpelekea katibu Cwt nakala ya notice kwa njia ya Ems kwa kuwatumia posta .Hakika nawaambia huyo Ngosha hili suala mkilifikisha kwa RAS then TAMISEMI atarudi kwao mapema na kuanza kuchunga ng'ombe
Pqmoja sn
 
Back
Top Bottom