Kenya 2022 Afisa wa Tume ya Uchaguzi na Mipaka nchini Kenya auawa

Kenya 2022 Afisa wa Tume ya Uchaguzi na Mipaka nchini Kenya auawa

Kenya 2022 General Election

Mpwayungu Village

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
14,540
Reaction score
30,875
Daniel Musyoka aliyekuwa afisa wa tume ya uchaguzi nchini Kenya alipotea siku nne zilizopita akiwa katika chumba cha majumuisho ya kura, alisogea pembeni kidogo kuzungumza na mtu ambae hakujulikana kwa sura wala jina, baada ya hapo hakuonekana tena mpaka hapo Jana alipokutwa amekufa porini.

Ikumbukwe kuwa uchaguzi wa mwaka 2017 tukio kama hili pia lilitokea nchini Kenya aliyekuwa ofisa tume ya uchaguzi kitengo cha Habari na mawasiliano (IT) - Chris Musando aliuwa kinyama nakutupwa kwenye dampo la taka.
1660629340467.jpg
Screenshot_20220816-085606_1.jpg
 
Kuna vyeo ukiwa nacho ni kama death sentence. Siku ambaye atafanikiwa kuiondoa CCM kwa tangazo la NEC nafikiri ndio itakuwa week yake ya mwisho kuendelea kupumua😂😂😂 acheni jamani. Ukiwaza watoto na mkeo uwaache unaona bora kina Aikaeli waendelee kulalamika tu japo kihaki wameshinda.
 
Ruto ni katili sana kisiasa
Hakuna ushahidi kuwa Ruto anahusika!! Yeyote anaweza kuhusika yawezekana akahusika mtu au watu ambao wana malengo tofauti kabisa yasiyohusiana na uchaguzi wa rais Kenya. Mara nyingi hutokea watu wenye kisasi hutekeleza kisasi chao wakiona kuwa hawatagundukika kwa upesi maana watu watafikiri kuwa amekufa kutokana na mambo ya uchaguzi wakati siyo!
 
Kuna vyeo ukiwa nacho ni kama death sentence. Siku ambaye atafanikiwa kuiondoa CCM kwa tangazo la NEC nafikiri ndio itakuwa week yake ya mwisho kuendelea kupumua[emoji23][emoji23][emoji23] acheni jamani. Ukiwaza watoto na mkeo uwaache unaona bora kina Aikaeli waendelee kulalamika tu japo kihaki wameshinda.
Hii Comment umeongea uhalisia wenyewe kabisa.Hakuna mtu atakuwa na ujasili huo hapa kwetu hayupo.
 
Back
Top Bottom