Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Kama yule ayatollah, ukigombea uenyekiti lazima upotee.Ruto ni katili sana kisiasa
Hamzidi MagufuliRuto ni katili sana kisiasa
Kafate vitumbua ulivyoagizwa na Dada ako shemeji anataka kunywa aende kazini. ShenztypuAfadhali ya NEC ya Mahera
Hahaha........!Kafate vitumbua ulivyoagizwa na Dada ako shemeji anataka kunywa aende kazini. Shenztypu
Ana akili kuliko hawa wa wazanzibari [emoji1787]Ruto atainyoosha ki kweli kweli Afrika Mashariki
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Eti kisisiemuInasikitisha sana uchaguzi uliyoanza vizuri ukaisha kiCCM hivi. Poleni kwa familia yake
Kwani mauaji ya mtu mmoja wa tume yanafanya mchakato wa kidemokrasia tuliouona kuondoka!!!???Si mlikuwa mnaisifia Kenya kwa demokrasia
Kwahiyo Wakenya wamempa nchi Sabaya πππRuto is a real gangster.
Halifu kama halifu lingine lolote.
Hakuna ushahidi kuwa Ruto anahusika!! Yeyote anaweza kuhusika yawezekana akahusika mtu au watu ambao wana malengo tofauti kabisa yasiyohusiana na uchaguzi wa rais Kenya. Mara nyingi hutokea watu wenye kisasi hutekeleza kisasi chao wakiona kuwa hawatagundukika kwa upesi maana watu watafikiri kuwa amekufa kutokana na mambo ya uchaguzi wakati siyo!Ruto ni katili sana kisiasa
Hii Comment umeongea uhalisia wenyewe kabisa.Hakuna mtu atakuwa na ujasili huo hapa kwetu hayupo.Kuna vyeo ukiwa nacho ni kama death sentence. Siku ambaye atafanikiwa kuiondoa CCM kwa tangazo la NEC nafikiri ndio itakuwa week yake ya mwisho kuendelea kupumua[emoji23][emoji23][emoji23] acheni jamani. Ukiwaza watoto na mkeo uwaache unaona bora kina Aikaeli waendelee kulalamika tu japo kihaki wameshinda.
Lakini ndio kipenzi cha Tundu Lissu huyo; sa itakuwaje?Ruto ni katili sana kisiasa