Leo ufunguzi unafanyika Loftus Versfeld ni akili pekee itatumika kupata mshindiMBAKA SASA.
Fedha za maandalizi ya African super league Bilioni 5.5
Simba amecheza robo Fainali ya AFL
Amelamba BILIONI 2. 5
5.5+2.5= 8 BILIONI
MBAKA SASA SIMBA AMELAMBA JUMLA YA BILIONI 8/=
Wanashambulia ila Leo ndio ufunguzi wa mashindano na team kusudiwa ndio zinaingia uwanjani hapa hakuna kelele za kutaka huruma ya kusema tumepambana watu wanataka tokeoWakina Mwakarobo watakuja kukuhambulia kwa matusi kama kawaida yao.
Angalau kwa Sasa tunajua Leo ndio ufunguzi wa AFL hapo Loftus Pretoria na mpira mzuri unaenda kuchezwa Sasa hakuna beki na kipa zenye mchecheto kama MaloneHaya maneno yanaishi sana ahadi naogopa.......
"MASHABIKI YA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE YANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE YANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI"
- DR LUC EYMAEL 2020
Leo uko upande gani !?ila kimuonekano uko kwa Al Ahly maana huwezi shabikia njano tena yenye kung'aa [emoji23][emoji23][emoji23]au utashabikia kishingo upandeView attachment 2796804
VITABU VYA KIHISTORIA VILITABIRI YAFUATAYO.
Mashabiki wa yanga ni wapumbavu
Mashabiki wa yanga hawana shule na hawajasoma
Mashabiki wa yanga ni wajinga na majinga
AahaaaaaaLeo uko upande gani !?ila kimuonekano uko kwa Al Ahly maana huwezi shabikia njano tena yenye kung'aa [emoji23][emoji23][emoji23]au utashabikia kishingo upande
NaamMakolo wamechukia leo utadhani hawakucheza hii michuano, subirini mwakani WANANCHI tuwaonyeshe nini cha kufanya katika hii michuano.
Ufunguzi ni leoMSAADA KUTOKA KWA UONGOZI JAMII FORUM
Mods naomba Tubadilishe jina la Heading.
Hicho kichwa cha Habari hakifai na hakitakiwi.
Wote tunajua ufunguzi wa
AFRICAN SUPER LEAGUE UMEFANYIKA BENJAMIN MKAPA STADIUM.20 OCTOBER 2023.
Nadhani tusiache watoto watuharibie jamii Forum.
Tuvithamini vya Nyumbanj
Ufunguzi ulifanyika Benjamin mkapa
Rais wa FIFA,CAF, CECAFA ,TFF nk Walikiwepowalikuwepo.
Active
Mhariri
Bridger
Boqin
BlackBold