AaahahaaaKwamba "makosa madogo tu yakirekebishwa tutafika mbali"... π π π Halafu cha kushangaza miaka inakata tu kila siku maneno ni hayo hayoππ
WoooooowHii ni Loftus cheek mkuu humo ndani hakuna tangazo la "tumia choo kistaraabu"View attachment 2796826
thibitisha hayo maelezo yako kwa evidenceMBAKA SASA.
Fedha za maandalizi ya African super league Bilioni 5.5
Simba amecheza robo Fainali ya AFL
Amelamba BILIONI 2. 5
5.5+2.5= 8 BILIONI
MBAKA SASA SIMBA AMELAMBA JUMLA YA BILIONI 8/=
[emoji23][emoji23]Hii ni Loftus cheek mkuu humo ndani hakuna tangazo la "tumia choo kistaraabu"View attachment 2796826
Hahaha unakimbilia polisi usiogope mkuu mda si mrefu game inaanza acha uoga game zinaanza leoMSAADA KUTOKA KWA UONGOZI JAMII FORUM
Mods naomba Tubadilishe jina la Heading.
Hicho kichwa cha Habari hakifai na hakitakiwi.
Wote tunajua ufunguzi wa
AFRICAN SUPER LEAGUE UMEFANYIKA BENJAMIN MKAPA STADIUM.20 OCTOBER 2023.
Nadhani tusiache watoto watuharibie jamii Forum.
Tuvithamini vya Nyumbanj
Ufunguzi ulifanyika Benjamin mkapa
Rais wa FIFA,CAF, CECAFA ,TFF nk Walikiwepowalikuwepo.
Active
Mhariri
Bridger
Boqin
BlackBold
AahaaaaaHahaha unakimbilia polisi usiogope mkuu mda si mrefu game inaanza acha uoga game zinaanza leo
Hawawezi wanataka waseme "tulicheza na bingwa"ila ukweli wanaujua bingwa wa Afrika yote ni USM AlgerAahaaaaaa
Hawezi shabikia njano,
Lazima amshabikie Al Ahyl
Mamelodi akimnywa Al Ahly Simba ataonekana alicheza na kibonde
Hivyo kamwe Simba hawezi shabikia Mamelodi
Channel gani wanaonesha DSTV?Shuhudia ufunguzi mkuu Leo hapo ulipo
Robo Tano "makosa madogo madogo"ya kipa na ukuta wa Yeriko hajatibiwa [emoji23][emoji23]Kwamba "makosa madogo tu yakirekebishwa tutafika mbali"... [emoji23] [emoji23] [emoji23] Halafu cha kushangaza miaka inakata tu kila siku maneno ni hayo hayo[emoji115][emoji115]
Wachukue Mamelodi ili Al Ahly aililie CAF na mwaka kesho liwepoMotsepe kaenda kutafuta hela ya mwarabu hawezi kuiacha kirahisi wakati ni budget yake kwa msimu huu na ujao
AahaaaaaHawawezi wanataka waseme "tulicheza na bingwa"ila ukweli wanaujua bingwa wa Afrika yote ni USM Alger