mwanamasala
JF-Expert Member
- Jun 20, 2009
- 248
- 12
Group A (Luanda): Angola, Mali, Malawi, Algeria
Group B (Cabinda): Cote d'Ivoire, Burkina Faso, Ghana, Togo
Group C (Bengela): Egypt, Nigeria, Mozambique, Benin
Group D (Lobango): Cameroon, Gabon, Zambia, Tunisia ;
Jamani lini na sisi tutakuwemo kati ya nchi hizo?????
Wenzetu wa Malawi wamejiweka sawa,may be vioingozi wa FAT wajiulize nchi ndogo kama Malawi inawezaje kuwa katika finals hizo?Hata wana Mozambique ambao sio kama sisi walipata Uhuru tunawaona chini ya Comrade Samora Machel.
Sina kumbukumbu lini tulishiriki kati ya finals hizi though nimeona kuna thread zinasema tulikuwa na wacheza wazuli miaka mingi iliyopita.
Ukiangalia nchi hizi zote ,timu zao za ligi hazina wafadhili Wahindi!!!
Anyway nitashangilia Malawi,maana ukiangalia hata wacheza wao baadhi wana majina ya Kitanzania,sio mbaya Mozambique kama wewe ni Mmachinga
Group B (Cabinda): Cote d'Ivoire, Burkina Faso, Ghana, Togo
Group C (Bengela): Egypt, Nigeria, Mozambique, Benin
Group D (Lobango): Cameroon, Gabon, Zambia, Tunisia ;
Jamani lini na sisi tutakuwemo kati ya nchi hizo?????
Wenzetu wa Malawi wamejiweka sawa,may be vioingozi wa FAT wajiulize nchi ndogo kama Malawi inawezaje kuwa katika finals hizo?Hata wana Mozambique ambao sio kama sisi walipata Uhuru tunawaona chini ya Comrade Samora Machel.
Sina kumbukumbu lini tulishiriki kati ya finals hizi though nimeona kuna thread zinasema tulikuwa na wacheza wazuli miaka mingi iliyopita.
Ukiangalia nchi hizi zote ,timu zao za ligi hazina wafadhili Wahindi!!!
Anyway nitashangilia Malawi,maana ukiangalia hata wacheza wao baadhi wana majina ya Kitanzania,sio mbaya Mozambique kama wewe ni Mmachinga