CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
Kiwango cha Umasikini Africa bado ninkikubwa sana na ukiangalia mechi zote ukiacha tu ya wenyeji utaona viwanja ni vitupu. CAF sijui wanapata wapi pesa za kuendesha Mpira Africa ila kwa kweli Africa bado sana tena mno.
Ukiangalia hata Copa America utaona viwanja viko fullu kabisa.
Mungu atusaidie
Ukiangalia hata Copa America utaona viwanja viko fullu kabisa.
Mungu atusaidie