Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
MMESIKIA HUKO?
.
Kwa mujibu wa Africa Soccer Zone,Klabu ya Yanga inashika nafasi ya pili nyuma ya Al Ahly kuwa ndio Klabu zinazofanya vizuri kwa sasa barani Afrika.
Orodha ni kama ifuatavyo
1-Al Ahly
2-Yanga
3-Petro De Luanda
4-Orlando Pirates
5-Mamelodi Sundown
6-Rs Berkane
7-Al Hilal
8-As Maniema Union
9-Singida Black Stars
10-Olympique Beja
Wakati huo huo Singida Black Stars ya Tanzania inakamata nafasi ya tisa katika kumi bora huku mnyama Simba akiwa hajatokea katika Top 10 hiyo.
.
NB-Oodha inatokana na matokeo ya timu inayoyapata katika michezo ya sasa kuanzia katika Ligi Kuu au mashindano ya kimataifa.
.
Vipi wanangu ripoti hii tuwawasilishie na wazee au tuamie wenyewe kuitisha press?isije ikawa akina Quaresma wamehamia CAF!
.
Powered by Shabani FUNDI sports
.
Kwa mujibu wa Africa Soccer Zone,Klabu ya Yanga inashika nafasi ya pili nyuma ya Al Ahly kuwa ndio Klabu zinazofanya vizuri kwa sasa barani Afrika.
Orodha ni kama ifuatavyo
1-Al Ahly
2-Yanga
3-Petro De Luanda
4-Orlando Pirates
5-Mamelodi Sundown
6-Rs Berkane
7-Al Hilal
8-As Maniema Union
9-Singida Black Stars
10-Olympique Beja
Wakati huo huo Singida Black Stars ya Tanzania inakamata nafasi ya tisa katika kumi bora huku mnyama Simba akiwa hajatokea katika Top 10 hiyo.
.
NB-Oodha inatokana na matokeo ya timu inayoyapata katika michezo ya sasa kuanzia katika Ligi Kuu au mashindano ya kimataifa.
.
Vipi wanangu ripoti hii tuwawasilishie na wazee au tuamie wenyewe kuitisha press?isije ikawa akina Quaresma wamehamia CAF!
.
Powered by Shabani FUNDI sports