Wiki iliyopita nilikuwa na dalili zote wanazozisema wataalamu kuwa ni za Corona, nilijitenga na familia yangu, hata Kabla hazjafka siku 14 nshapona mkuu, nilijifukiza mti wa mlingoti na nilikunywa sana Tangawiz na kitunguu swaumu!
Mtu mweusi Hafi kwa mafua labda awe na pneumonia au TB.
Waafrica tukatae kinga zitakazoletwa na wazungu
Sent using
Jamii Forums mobile app