shokolokobangosha
New Member
- Aug 24, 2013
- 1
- 0
ni kwa mara ya kwanza, tafadhali naomba nisemee hili, simaanishi mara ya kwanza kuzungumziwa, la hasha, namaanisha mara ya kwanza mimi kulizungumzia, ni kuhusu nmuungano wa nchi za afrika na kuwa nch mmoja, nimewaza kwa kina kwanini wenzetu wa magharibi wamelitekeleza hili mapema sana, mfano mzuri ni marekani {united states of amerca}, au ujerunmani, kinacho nishawishi zaidi ni ukubwa wa bara letu, yaani bara la pili kwa ukubwa duniani, wingi wa rasilimali zetu na uadimu wake kupatikana katika mabara mengine,vipaja vya watu wetu vinavyotumika kote ulimwenguni kwa faida ya nchi zao, roho za upendo wa kweli na ukarimu tulizonazo { ni kweli katika hili mapungufu yapo lakini yanarekebishika} hivi hatuioni siri hii iliyo wazi mbele yetu kuwa maendeleo ya haraka ya muafrika hayawezi kuletwa na nchi moja moja bali muunano wenye nguvu ya pamoja? sina haja ya kuwakumbusha waasisiwaliotangulia kwani najua mnawajua, yangu nui hayo tuuuuuuuu!