Wewe boya kweli, Sasa huyo nae si mtu kama wewe ameandika maneno tu. Tena inaweza ikawa ni wewe mwenyewe unaandika pumba uko then unazileta hukuEnd skyscrapercity ukawaambie ivo, uko si kama jamii forum kwenye unaongea maneno tu....
Haikuwa mtu mmoja ilikuwa kundi lote la skyscrapercity africa nzima na baathi ya wachangiangi wa tz walikuwa kina kizibo/geza ulole, kilingo, bantugbroWewe boya kweli, Sasa huyo nae si mtu kama wewe ameandika maneno tu. Tena inaweza ikawa ni wewe mwenyewe unaandika pumba uko then unazileta huku
Wewe fala i only deal with one forum. That is Jamii Forum only because its TZ based. Mimi huwezi nikuta nikilandalanda kwenye forum nyingineNi Ya zamani, sasa tunaomba uende skyscrapercity uka update cha muhimu usiende kukurupuka uko, hapo sii jamii forum utanyoroshwa ban ukianza upuuzi wa jamii forum muulize geza ulole/kizibo ππππ
Ili andaliwa lini.. kuna thread ya Nai na Dar kuhusu hizo over 20. Pia yenyewe iliandaliwa na watu wengi, mbona huja ichukua ile unatuletea hiyo ambayo ime imbunja DarHaikuwa mtu mmoja ilikuwa kundi lote la skyscrapercity africa nzima na baathi ya wachangiangi wa tz walikuwa kina kizibo/geza ulole, kilingo, bantugbro
Hawa jamaa wanazani sisi tuko jobless kama wao kulandalanda kwenye forum. Wao hadi Tweeter wameigeuza kama forumππWewe boya kweli, Sasa huyo nae si mtu kama wewe ameandika maneno tu. Tena inaweza ikawa ni wewe mwenyewe unaandika pumba uko then unazileta huku
Hawa jamaa huwa wanaakili zaki changaaIli andaliwa lini.. kuna thread ya Nai na Dar kuhusu hizo over 20. Pia yenyewe iliandaliwa na watu wengi, mbona huja ichukua ile unatuletea hiyo ambayo ime imbunja Dar
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Nawaonaga, halafu wanajifanya wajuaji sana. Ata humu naona wanaongezeka nahisi wanashtuana wakiwa kwenye vibanda vya mama ntilie uko Kibera.Hawa jamaa wanazani sisi tuko jobless kama wao kulandalanda kwenye forum. Wao hadi Tweeter wameigeuza kama forumππ
Venye huwa unajadili hoja kitoto huku jamii forum uko uwezi kaa ata sekunde moja unapigwa ban.Wewe fala i only deal with one forum. That is Jamii Forum only because its TZ based. Mimi huwezi nikuta nikilandalanda kwenye forum nyingine
Kama ni iyo mbona unakesha huku jamii forum usiku kutwa? Kingereza ndio inawaharibia nyinyi wacheni bla, blaHawa jamaa wanazani sisi tuko jobless kama wao kulandalanda kwenye forum. Wao hadi Tweeter wameigeuza kama forumππ
Venye nikiswahili gani. Huko siwezi jadili cause they are into construction only next i will only deal with Tanzanian thread. Huwezi nikita Nigeria or Kenyan threadVenye huwa unajadili hoja kitoto huku jamii forum uko uwezi kaa ata sekunde moja unapigwa ban.
Latest updated unaeza tupea yetuHii list ya zamani. Kipindi cha Kikwete
Battle yenyewe at a hakubambi kama zamani watu hawaifuatili Tena ni Ichoboy na wageni pekeesource wikipedia na skyscraper cityππ A fool will always a foolππ Ndo maana ulipewa Ban ya milele Dar vs Naiππ
Tupea yetu ndo kiswahili gani ? They are 63 bbuildings over 20Latest updated unaeza tupea yetu
Una uwakika ?? ππ Wenzako wameshikwa pabayaππ± Ngoja tuone yako itakaa sikungapi page number1ππBattle yenyewe at a hakubambi kama zamani watu hawaifuatili Tena ni Ichoboy na wageni pekee
Leta list tuta updateTupea yetu ndo kiswahili gani ? They are 63 bbuildings over 20
Battle ilisha icho ckuhizi pekee ndio ako ukoUna uwakika ?? ππ Wenzako wameshikwa pabayaππ± Ngoja tuone yako itakaa sikungapi page number1ππ
Takwimu uchwaraKenya INA miji mitatu humo with a combined 50 buildings over 20floors While the rest of East and Central Africa has a combined 51 buildings.
Though Luanda is coming up faaaaast. But there are some major projects proposed in Nairobi, we will be hitting 60s soon. What is the situation like in Dar??Shukuruni avic international imewaboost sana tulikua ahead of you in few past years...btw congratulations Nbo &Dar east Africa up