African Countries By The Number of Internet Users 2022

African Countries By The Number of Internet Users 2022

Tz boy 4tino

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2014
Posts
1,598
Reaction score
1,822
Nchi za Afrika kwa idadi ya watumiaji wa internet.

Hizi takwimu zina maanisha nini?. Tanzania ipo nyuma tu ya Afrika Kusini na Nigeria kwa nchi za kusini mwa jangwa la Sahara.

Tanzania ina watumiaji wa internet millioni saba zaidi ya Kenya, Kenya haijawahi kuwa na internet penetration ya asilimia 80% na zile takwimu ni fake (jambo ambalo wengi tushawahi lisema humu), Tanzania ipo vizuri kwenye internet penetration kwani tumezizidi Ethiopia na Dr Congo nchi zenye watu zaidi ya millioni 100.

N.B: Majirani zetu wa kaskazini huwa tunawaambia kila siku hamuwezi kuwa na watumiaji wengi wa internet, wakati kila social media mbali na Twitter, Tanzania ina idadi wengi ya watumiaji kuzidi Kenya.

6D34C5D1-EE67-4051-AF75-BC980962CFA4.jpeg
 
Huoni aibu kuokoteza screenshot huko na kuja kubandka humu bila kutupatia chanzo, lini mtuzidi kwenye chochote kinachotegemea matumizi ya ubongo

Tanzania 15.60 million internet users as of anuary 2022.
Kenya 23.35 million internet users as of January 2022.

 
Huoni aibu kuokoteza screenshot huko na kuja kubandka humu bila kutupatia chanzo, lini mtuzidi kwenye chochote kinachotegemea matumizi ya ubongo

Tanzania 15.60 million internet users as of anuary 2022.
Kenya 23.35 million internet users as of January 2022.

Kwan mkuu kuna. Ugomvi au ushindani kati ya Tanzania na Kenya?

Maana huwa nakuonaga Mara nying Sana huwa unamzungumzia vitu kiushindan Zaid kat ya hiz nch mbili
 
Kwan mkuu kuna. Ugomvi au ushindani kati ya Tanzania na Kenya?

Maana huwa nakuonaga Mara nying Sana huwa unamzungumzia vitu kiushindan Zaid kat ya hiz nch mbili

Nimefanya ku-react kwa mwenzako maana kaileta kishabiki huku akipotosha ikabidi ajibiwe kishabiki na kuumbuka.
 
Nimefanya ku-react kwa mwenzako maana kaileta kishabiki huku akipotosha ikabidi ajibiwe kishabiki na kuumbuka.
Wapi ww.
Kuna source nilisoma inasema tunewazidi. Sinaga tu muda wa ku upload huku. Ngoja niitafute. Nyinyi subscriptions tumewazidi, viewers tumewazidi. Ngoja kwanza
 
Wapi ww.
Kuna source nilisoma inasema tunewazidi. Sinaga tu muda wa ku upload huku. Ngoja niitafute. Nyinyi subscriptions tumewazidi, viewers tumewazidi. Ngoja kwanza

Hizo ndio tunaita ngonjera, humu tunapokezana FACTS..... usijifiche nyuma ya mgongo wa eti hauna time, ile tu kwamba umeingia JF, time unayo tu.
 
Nchi za Afrika kwa idadi ya watumiaji wa internet.




Hizi takwimu zina maanisha nini?. Tanzania ipo nyuma tu ya Afrika Kusini na Nigeria kwa nchi za kusini mwa jangwa la Sahara.
Tanzania ina watumiaji wa internet millioni saba zaidi ya Kenya, Kenya haijawahi kuwa na internet penetration ya asilimia 80% na zile takwimu ni fake (jambo ambalo wengi tushawahi lisema humu), Tanzania ipo vizuri kwenye internet penetration kwani tumezizidi Ethiopia na Dr Congo nchi zenye watu zaidi ya millioni 100.

N.B: Majirani zetu wa kaskazini huwa tunawaambia kila siku hamuwezi kuwa na watumiaji wengi wa internet, wakati kila social media mbali na Twitter, Tanzania ina idadi wengi ya watumiaji kuzidi Kenya.

Globally, in the past 12 months, Kenya was the main hub driving Diamond's YouTube streams, attracting over 136 million views, with 107 million views originating from Nairobi. Tanzania came a distant second with 85.5 million, US followed with 29.3 million and France 23.4 million"
And i quote "
 
Kama Tanzania ikona internet users wengi, then how comes Kenya is dominating in all these fields?
Netflix - Kenya
Google - Kenya
Twitter- Kenya
Facebook- Kenya
Crypto- Kenya
Youtube - Kenya
Linkedin - Kenya
Reddit - Kenya
Boomplay - Kenya
Microsoft-Kenya
Spotify - Kenya
Whatsapp-Kenya
Uber - Kenya
Jumia- Kenya
Glovo - Kenya
Uber Eats - Kenya
Poa internet - Kenya
Internet startups - Kenya
Online sports betting - Kenya
Online trading - Kenya
Xiaomi - Kenya
Huawei - Kenya
Oracle - Kenya
IBM - Kenya
Number of internet sea cables- Kenya
Number of ISPs - Kenya

etc


Bongo kwani munatumia internet gani? 🤣 🤣 🤣 🤣 Ju kwa ground vitu ni different.
 
Kama Tanzania ikona internet users wengi, then how comes Kenya is dominating in all these fields?
Netflix - Kenya
Google - Kenya
Twitter- Kenya
Facebook- Kenya
Crypto- Kenya
Youtube - Kenya
Linkedin - Kenya
Reddit - Kenya
Boomplay - Kenya
Microsoft-Kenya
Spotify - Kenya
Whatsapp-Kenya
Uber - Kenya
Jumia- Kenya
Glovo - Kenya
Uber Eats - Kenya
Poa internet - Kenya
Internet startups - Kenya
Online sports betting - Kenya
Online trading - Kenya
Xiaomi - Kenya
Huawei - Kenya
Oracle - Kenya
IBM - Kenya
Number of internet sea cables- Kenya
Number of ISPs - Kenya

etc


Bongo kwani munatumia internet gani? 🤣 🤣 🤣 🤣 Ju kwa ground vitu ni different.
Njoo na takwimu za Kenya ku dorminate hizo platform, siyo una list tu.

Nasisitiza mbali na Twitter hamna social media yoyote kubwa ambayo Kenya inawatumiaji wengi zaidi ya Tanzania.

Tukirudi kwenye hilo la baadhi ya kampuni kuweka base zao Kenya hi swala la sera za nchi na halina uhusiano wowote na idadi ya watumiaji wa internet.
Ingekuwa ni kweli hilo unalosema basi makampuni yote ya magharibi ya internet/teknolojia yangeweka base yake Nigeria maana ndiyo nchi yenye internet users wengi zaidi Afrika.
 
Kama Tanzania ikona internet users wengi, then how comes Kenya is dominating in all these fields?
Netflix - Kenya
Google - Kenya
Twitter- Kenya
Facebook- Kenya
Crypto- Kenya
Youtube - Kenya
Linkedin - Kenya
Reddit - Kenya
Boomplay - Kenya
Microsoft-Kenya
Spotify - Kenya
Whatsapp-Kenya
Uber - Kenya
Jumia- Kenya
Glovo - Kenya
Uber Eats - Kenya
Poa internet - Kenya
Internet startups - Kenya
Online sports betting - Kenya
Online trading - Kenya
Xiaomi - Kenya
Huawei - Kenya
Oracle - Kenya
IBM - Kenya
Number of internet sea cables- Kenya
Number of ISPs - Kenya

etc


Bongo kwani munatumia internet gani? 🤣 🤣 🤣 🤣 Ju kwa ground vitu ni different.
Hizo kampuni zote ulizo list zina operate Tanzania, sijaelewa pointi yako nini hapo.
 

Globally, in the past 12 months, Kenya was the main hub driving Diamond's YouTube streams, attracting over 136 million views, with 107 million views originating from Nairobi. Tanzania came a distant second with 85.5 million, US followed with 29.3 million and France 23.4 million"
And i quote "
Huyo ni msanii mmoja tu, vipi kila mtu maarufu Tanzania ana wafuasi wengi kutokea Kenya??. Siyo kweli.
 

Globally, in the past 12 months, Kenya was the main hub driving Diamond's YouTube streams, attracting over 136 million views, with 107 million views originating from Nairobi. Tanzania came a distant second with 85.5 million, US followed with 29.3 million and France 23.4 million"
And i quote "
Siioni Kenya hapa.
 

Attachments

  • DC119EB4-677E-411C-A85B-94E2675C80A2.jpeg
    DC119EB4-677E-411C-A85B-94E2675C80A2.jpeg
    71.6 KB · Views: 26
Ni matumaini yangu number of users inatuvusha tulipo kwenda level ya angalau GDP ya $50 billion kama nchi!

Kinyume chake, tuache kelele tu.
 
Huoni aibu kuokoteza screenshot huko na kuja kubandka humu bila kutupatia chanzo, lini mtuzidi kwenye chochote kinachotegemea matumizi ya ubongo

Tanzania 15.60 million internet users as of anuary 2022.
Kenya 23.35 million internet users as of January 2022.

Huyo mwandishi hajitambui, soma hapa. Tanzania: number of internet users 2015-2022 | Statista
 
Jielimishe, hiyo hiyo Statisca
Tanzania 15.6
Kenya 23.35
Nchi maskini kama yenu ambayo elimu yenu bado hamuwezi kutuzidi kwenye mambo ya internet

As of March 2022, Tanzania had around 29.9 million internet users, roughly 50 percent of the country's population. The source based the estimate on internet subscriptions trhough cable modem, DSL, mobile-broadband, and others. Overall, the number of internet users, as well as the internet penetration rate, has been increasing in Tanzania.
 
desperation by the Bongolalas has reached record levels

simple google search quickly kills that screenshot
 
Njoo na takwimu za Kenya ku dorminate hizo platform, siyo una list tu.

Nasisitiza mbali na Twitter hamna social media yoyote kubwa ambayo Kenya inawatumiaji wengi zaidi ya Tanzania.

Tukirudi kwenye hilo la baadhi ya kampuni kuweka base zao Kenya hi swala la sera za nchi na halina uhusiano wowote na idadi ya watumiaji wa internet.
Ingekuwa ni kweli hilo unalosema basi makampuni yote ya magharibi ya internet/teknolojia yangeweka base yake Nigeria maana ndiyo nchi yenye internet users wengi zaidi Afrika.
Punguza kelele ya chura.

1654445415738.png



1654445462675.png
 
Huoni aibu kuokoteza screenshot huko na kuja kubandka humu bila kutupatia chanzo, lini mtuzidi kwenye chochote kinachotegemea matumizi ya ubongo

Tanzania 15.60 million internet users as of anuary 2022.
Kenya 23.35 million internet users as of January 2022.

Sio tu kwenye matumizi ya internet tunawizidi bali mpaka kwenye mobile money transactions, unaruhusiwa kwenda kujinyonga!

2022-5-15_9-27-55.PNG
 
Back
Top Bottom