African Football League ni bonanza la mchongo

Wivu utakuua !! Pole sana!! Ni mtoto mdogo tu kwenye soka ambaye hawezi kujua vigezo vilivyotumika kuzipata hizo timu 8. Kwa faida ya wasiojua kama wewe, kigezo ni mkusanyiko wa pointi ilizokusanya timu katika kipindi cha miaka mitano (5). Hapa kilichokuwa kinatafutwa ni consistence!! Wastyani wa ubora kwa miaka 5!! Ndiyo maana TP Mazembe imo na Uto haimo!!
 
Kwani ww na Dr Motsepe nani mwenye akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…