African life assurance(interview)

African life assurance(interview)

Joined
Oct 25, 2011
Posts
8
Reaction score
0
Nijuzeni wana JF anaefahamu kama African life Assurance wameshaita watu kwenye interview au lini wataita.
 
Nijuzeni wana JF anaefahamu kama African life Assurance wameshaita watu kwenye interview au lini wataita.

Jana 2 ndo ilikuwa mwisho wa kusubmit cv,leo unaulizia interview mmh njaa itakuuwa kijana! We kama ipo ipo 2! Then unaweza fanya kaz kwa commision?
 
Back
Top Bottom