Zamazamani
JF-Expert Member
- Jun 13, 2008
- 1,869
- 787
40 years of age?!!!!!!!!!!!!!! nimebakisha miaka kumi tu nizeeke ivyo? basi kweli life expectancy inazidi kushuka, watakaozaliwa watakuwa wameshabalehe na kila kitu wanaelewa
kaka hizo ni njia za kujionyesha kuwa wana-vyanzo sahihi vya mapato ila kuna vitu vyao nyuma ya pazia...kwani r-aziz hatumjui anavyojipatia utajiri??...wekeni wazi vyanzo vya mabilioni yao ikiwamo kuua uchumi wa taifa letu kwa manufaa yao binafsi.
pesa inahitaji nidhamu kubwa sana iendelee kuwepo