African old school hit songs collection

African old school hit songs collection

Da'Vinci

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2016
Posts
35,812
Reaction score
107,628
Habari,

Naomba msaada wenu. Kama wewe ni mzee wa zamani au miaka ya 90 na 2000 ulikua unaenda Disko (Ulikuwa ushapevuka wakati huo), basi naomba uniorodheshee nyimbo zile mlizokua mnazicheza hasa za Kiafrika. Au hata kama ulikua unamsikia mzazi anauimba au kusikiliza wimbo wa zamani utaje hapa!

Kama kuna nyimbo za zamani unazozifahamu wewe zitaje, mimi nitazipakua then nikipata muda nitakua nazipandisha humu! Napenda sana nyimbo za wazee..

Kwangu nimeanza kukusanya nyimbo zoote za Tshala Muana na Monique Seka.

NOTE: SITAKI ZILIPENDWA ZA TANZANIA

Karibuni
 
Wahenga karibuni mnisaidie...
 
Unataka bongo flava au zile za kizee kama kina samba mapangala sjui tx moahi
Kama za Afrika Kusini. Akina Oliver, Mbilia Bel, Khadije Nin, Femi Kuti, House Music, Mafikizolo, Mahotela Queens na wengine weengii sema siwajui majina wala sijui nyimbo majina.
 
Umekumbuka nini, mpaka umeamua kuomba nyimbo za zamani/

Isije ikawa Demu wako kakupiga chini, kakufanya umepotea njia na huijui ramani/

Nyimbo za miaka ya tisini, hazipigwi harusini jaribu kufanya tathmini/

Nyingi zinapigwa redioni na zimepwaya mitandaoni, si zile wanazopiga bendi kama kwaya makanisani?....au sio jamani?/
 
Nenda kwenye forum ya entertainment kuna zilipendwa jamaa mmoja wa kuitwa Balatanda kashusha nondo kule.
 
Monica Seka- missounwa
Monique Seka- Okaman
Monique Seka- Adeba
Monique Seka-Baye
Monique Seka-Yaye demin
Oliva Ngoma- Lusa
Oliva Ngoma- Alphonsine
Oliva Ngoma- Bane
Ringo Madlingoz- Sondela
Yvonne ChakaChaka- I'm burning up
Yvonne ChakaChaka-Sangoma
Yvonne Chakachaka- Let me be free
Oliva mtukudzi- Todi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbili Abel - Eswi Yo wap
Mfikizolo- Emlanjeni


Karatas haitosh man
 
chemistoftz,
Kuna ule wa mafikizolo wanaimba ooooh ooh ooh mafikizolooooo! Sijui unaujua
 
Back
Top Bottom