Tumbiliwaulaya
JF-Expert Member
- Nov 22, 2020
- 280
- 435
Hawa ni wapambanaji wawili ambao nyota zao zimeng'aa barani Africa kwa harakati zao za kupigania
haki,na demokrasia kwenye nchi zao bila kuchoka licha ya kupitia wakati mgumu lakini hawakukata tamaa hivyo mchango wao umetambuliwa.
haki,na demokrasia kwenye nchi zao bila kuchoka licha ya kupitia wakati mgumu lakini hawakukata tamaa hivyo mchango wao umetambuliwa.