African Person of the Year – The opposition – bloodied, not bowed,Lissu & Bobi Wine

Nadhani yote yanaanzia kwenye kukubali JPM anawafuasi wengi saana....na style yake ya uongozi amejizolea wafuasi wengi.

Unajizolea wafuasi halafu chini ya utawala wako chaguzi zote zimenajisiwa! Uza ubongo huo maana unakaa nao kwa hasara.
 
Watanzania gani unaowazungumzia! Mbona walimpa Kura za kishindo ila jpm akaziipa zota.
Si unaona hii thread ya Lissu inavyoenda mwendo wa kinyonga, hadi muda huu ipo page ya 2 tu, Lissu ameshachuja, atarudi Tz kwa aibu sana huku mishavu ikiwa imejaaa na kulegea kama bull dog.
 
Lisu atapita zeroooooo kama alivyopata kwenye uchaguzi hapa Tanzania
Nani alikudanganya kwamba alipata zero? Kawaulize wasimamizi wa vituo watakwambia ukweli!
 
Kwa nini asiwe Lazarus Chakwera ambaye aligombea kupitia upinzani na akashinda? Kama tunatafuta the best opposition leader basi atakuwa yeye; lakini kama tunatafuta the most loser among losers, then tuwape kina lisu.
 
Lissu saivi yupo level moja na Mrema, wote wameshatepeta, ile ongea yake ya kejeli, dharau na ujivuni imepotea baada ya kufunzwa adabu na watz. Siku hizi post zake humu hazifikishi hata page 3 tu.
Kasanda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…